Binti ijue thamani yako. Hujachelewa

Binti ijue thamani yako. Hujachelewa

Juandeglo

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
1,040
Reaction score
2,806
Niliwahi kusoma sehemu kwamba lulu ina thamani kubwa sana. Kumbe lulu hutokea kwenye vina vikubwa huko vya maji na mpaka zitengenezwe ni process kubwa. Na ndio maana wanaozitafuta hustruggle sana kuzipata.

Sasa binti, kichuna wewe ni mrembo na wa thamani sana. Kama kuna anguko umeshapitia unaweza ukainuka na kujikung'uta mavumbi. Wewe ni wa thamani sana walijua hilo?

Magari, nyumba, you name it vyote hivyo ni utopolo kabisa. Nani kakwambia havipatikani. Ukipambana vitakuja tu lakini si kwa kufungua miguu haraka. Matokeo yake kuishia katika majuto, maumivu, visa, stress, depression na wengine kujiua.

You, yes you are very precious before GOD hivyo jua kuitunza thamani yako. Ni kwa jinsi hiyo tu unaweza kupata furaha katika nafsi yako na mahusiano yako yakawa mazuri kwa sababu hukuentertain upuuzi (you know what i mean).

Hawa wanaume leo hawana jema wala baya wanaexist tu. Jua kujisimamia katika misimamo thabiti haijalishi wangapi hawatakuelewa wewe songa mbele. Kuna furaha katika kujitambua, kujielewa na kujithamini. Ijue thamani yako, live your worth.
 
Tatizo linakuja pale atakapo jitunza na bado maisha yakamchapa ndo wanaonaga bora kujilipua chances zinapotokea. Mi hawa wanawake huwa siwalaumu hata kidogo kwenye ishu za kujitunza
 
Kua mwanamke ni kazi sana.. but wabadili mitazamo Sasa hii dunia ya leo hakuna Cha bure kueni stable kiuchumi usiombe vocha,usijiuze think umiza kichwa Kama sis wanaume tunafanya usiwe kwa mahusiano ambayo huyapendi....

Juzi tuu jamaa kachinja mtoto wa watu kamzika alikua anamzuga anakula hela huko geita very sad...

Yaan ukiingia insta ni Kama bucha hakuna Dem kajistili wote ovyo tu akati vijana unakuta wako smart picha zao..
 
Hawa wanaume leo hawana jema wala baya wanaexist tu. Jua kujisimamia katika misimamo thabiti haijalishi wangapi hawatakuelewa wewe songa mbele. Kuna furaha katika kujitambua, kujielewa na kujithamini. Ijue thamani yako, live your worth.

Hawa uliowashauri hapa wanadhani kujitambua,kujielewa na kujithamini ni kusimama man to man na wanaume wakibishana hovyo huku wakiongozwa na elimu zao walizokaririshwa ndani ya kuta nne.
 
Niliwahi kusoma sehemu kwamba lulu ina thamani kubwa sana. Kumbe lulu hutokea kwenye vina vikubwa huko vya maji na mpaka zitengenezwe ni process kubwa. Na ndio maana wanaozitafuta hustruggle sana kuzipata.
The biggest problem with today is that the average woman feels like she is better than the average man!

Women have self-inflated ego because of all the simps that hype them.

EXCLUDING sex, does a woman offer value if she doesn't..
  • proudly represent you in public
  • cook you homemade meals
  • keep a presentable home
  • intrigue you mentally
  • push you to grow
  • have your back
If all she brings to the table is her body, then that's all she's worth.

And that's only being fair.
 
Kua mwanamke ni kazi sana.. but wabadili mitazamo Sasa hii dunia ya leo hakuna Cha bure kueni stable kiuchumi usiombe vocha,usijiuze think umiza kichwa Kama sis wanaume tunafanya usiwe kwa mahusiano ambayo huyapendi....

Juzi tuu jamaa kachinja mtoto wa watu kamzika alikua anamzuga anakula hela huko geita very sad...

Yaan ukiingia insta ni Kama bucha hakuna Dem kajistili wote ovyo tu akati vijana unakuta wako smart picha zao..
Kama ni muumini utaelewa kuwa siyo mpango wa Mungu mwanamke ahangaike kutafuta mkate yeye kazi yake toka awali ilikuwa ni kuzaa na kulea watoto kwa ukaribu wakati mwanaume ameenda kuvuja jasho but since wameamua kwenda tofauti na agizo hilo kiama chao wanakutana nacho hapa hapa duniani.

Iko hivi....jinsia ya kike ikimiliki chochote,I mean kitu chochote hata kalio tu (kitu cha kipumbavu kabisa) ni nyepesi kujisahau hujiona dunia ni yake na kwamba mwanaume kwake ni mjinga tu atataka wenye magari etc kwake maskini siyo mtu (sikuzungumzia pesa hapo) sasa tu-assume huyu ndo amemiliki pesa hakuna mwanaume anayejitambua atakaa naye zaidi atavurugwa vurugwa hovyo na wahuni na kuzalishwa zalishwa hovyo,na muhimu hapa tujue kuwa % kubwa ya wanaume wanajitambua that's why hukuti mwanaume anayejitambua anayetaka mke akazingatia vitu vinavyoonekana kwanza huangalia tabia,kama akawa ni mbaya au mzuri ana kalio au hana ni mweupe au siyo mweusi akishakuwa na tabia nzuri tu huyo ameolewa.

Hii kitu inaitwa haki sawa ipo siku itawa-cost sana.
 
Tatizo linakuja pale atakapo jitunza na bado maisha yakamchapa ndo wanaonaga bora kujilipua chances zinapotokea. Mi hawa wanawake huwa siwalaumu hata kidogo kwenye ishu za kujitunza
Ni kweli kabisa mkuu lakini ujue as long as tuko duniani sisi wote ni risk taker. Ni kweli unaweza kuishi katika thamani na bado maisha yakakuchapa lakini sio milele. Mungu sio dhalimu kiasi cha kwamba akaacha mtu aliyeishi vizuri afe katika aibu...i stand to be corrected.

Mimi pia am blaming no one natamani tujikaze mioyo yetu wanawake wote kuweza kuishi katika thamani zetu ambazo tukiweza kuziishi mafanikio yataakuja humo, mawimbi yatakuja lakini lazima kupambana ndipo mafanikio yaje
 
Kua mwanamke ni kazi sana.. but wabadili mitazamo Sasa hii dunia ya leo hakuna Cha bure kueni stable kiuchumi usiombe vocha,usijiuze think umiza kichwa Kama sis wanaume tunafanya usiwe kwa mahusiano ambayo huyapendi....

Juzi tuu jamaa kachinja mtoto wa watu kamzika alikua anamzuga anakula hela huko geita very sad...

Yaan ukiingia insta ni Kama bucha hakuna Dem kajistili wote ovyo tu akati vijana unakuta wako smart picha zao..
Kizazi kimeharibika, uovu umepanda duniani balaa. Halafu kibaya zaidi ukweli unaonekana kama judgement, utahira then uongo ndo new normal na haina shida tena kuna do not judge me.

Kinachoniumiza wazazi hawawezi kukemea wala kuongea kwanza ukute wao waliteleza, lakini pia wanaletewa hela ataanzaje kuongea. Ibilisi yuko busy kuliko kawaida lakini acha tuongee labda yuko mmoja atakayeelewa na kuokoka.

Ni kweli kuwa mwanamke ni kazi lakini it is a priviledge ambayo Mungu ametupa..tuishi tu kwani kuwa mwanaume sio kazi mbona hawatetereki sana?
 
Back
Top Bottom