ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Haya majanga sasa.
Ni yuleyule binti tuliyekua tukiishi nae mtaani hapa na baadae akapata bahati ya kwenda nje ya nchi.
Msichana mstaarabu kwa muonekano, mpole, mwenye haiba na aibu tele, mwenye kujiheshimu kimavazi mbele za watu.
Kumbe nilinza nae kipindi kile alichokua akirudirudi likizo tukaahidiana tutaoana akishamaliza masomo. Ninampenda kwakweli ila baada ya kurudi nikaanza ona utofauti.Ingina hapa > https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/657002-mke-mtarajiwa-kaharibiwa.html < Sasa nilimwomba nikamtambulishe kwa kaka yangu lakini akadai anamwogopa sana akakataa, nikamwuliza kama anafahamiana nae akadai kwa sura tu anamjua.
Sikushtuka sana koz namfahamu ana aibu sana.
Baada ya siku kadhaa kupita nikiwa na mke huyu mtarajiwa, mara nikapata ujumbe toka kwa broo. Alimtumia rafiki yake aje kuniambia kua niachane na huyu mdada kwani alishatembea nae sana, nahisi kuchanganyikiwa. Tunaheshimiana sana na broo angu labda ndo mana kashindwa niambia direct.
Mawazo yamenitinga nikapata ujasiri nikampigia broo ku confirm.
Nilichojibiwa niko shocked! Nimeshare na broo! mbaya zaidi broo mwenyewe ni kicheche mbaya, mbaya zaidi bro anasisitiza si ulitumia condom dogo?'
Sijieleweielewi kwakweli nahisi kuchanganyikiwa
Ni yuleyule binti tuliyekua tukiishi nae mtaani hapa na baadae akapata bahati ya kwenda nje ya nchi.
Msichana mstaarabu kwa muonekano, mpole, mwenye haiba na aibu tele, mwenye kujiheshimu kimavazi mbele za watu.
Kumbe nilinza nae kipindi kile alichokua akirudirudi likizo tukaahidiana tutaoana akishamaliza masomo. Ninampenda kwakweli ila baada ya kurudi nikaanza ona utofauti.Ingina hapa > https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/657002-mke-mtarajiwa-kaharibiwa.html < Sasa nilimwomba nikamtambulishe kwa kaka yangu lakini akadai anamwogopa sana akakataa, nikamwuliza kama anafahamiana nae akadai kwa sura tu anamjua.
Sikushtuka sana koz namfahamu ana aibu sana.
Baada ya siku kadhaa kupita nikiwa na mke huyu mtarajiwa, mara nikapata ujumbe toka kwa broo. Alimtumia rafiki yake aje kuniambia kua niachane na huyu mdada kwani alishatembea nae sana, nahisi kuchanganyikiwa. Tunaheshimiana sana na broo angu labda ndo mana kashindwa niambia direct.
Mawazo yamenitinga nikapata ujasiri nikampigia broo ku confirm.
Nilichojibiwa niko shocked! Nimeshare na broo! mbaya zaidi broo mwenyewe ni kicheche mbaya, mbaya zaidi bro anasisitiza si ulitumia condom dogo?'
Sijieleweielewi kwakweli nahisi kuchanganyikiwa