Nimeuliza tu mkuu ili nijue hasa anachanganywa na nini.....
Naona mwanamke kabaki peke yake. Mnapata faida gani kutunga?
Ha ha ha ha Kongosho.. Nilikuwa ninaendelea kusoma comments nilipofika kwenye hii yako imebidi nicheke lol.. Inamaanisha mtunzi wa simulizi hii ameitengeneza mwenyewe..!
Daaah we acha tu!
Ndio maana mi habari ya kuwekeza upendo nilishatoaga kabisaa!
Unanifanya nichizi kwa kukuwaza.
Najuta kwa nini nilikutana nawe siku ile.
Bado najilaumu kwa kosa kubwa nilolifanya la kutoendelea kukushawishi unipatie namba yako, Ona nimekua kama chizi vile kwa kupitia pande zile za kinywaji tulipoonana usiku ule, Ndio kila week end lazima niende pande zile labda nitaonana nawe.
Ndio ulinitajia jina lako moja tu. Ona ninavyokutafuta fesibuku, twita,gugo, linkid inn na kwingineko labda nitakuona lakini wapi.
Huduma ile ulonipatia usiku ule ndio sababu ya mambo yote haya Kwakweli tangu nizaliwe sijawahi pata service kama ile, Na sidhani kama nitaipata kwa mtu mwingine zaidi yako wewe. Hainikauki kichwani, mara kwa mara hujirudia.
Ndio ulinambia unamchumba ako na usingependa nikusumbue nikakuharibia mahusiano na huyo mchumba ako, Ukanikatalia kunipa namba yako ya simu, nikakusisitiza ukakubali kuchukua yangu then ukasema utanipigia, Siku Miezi inapita sasa bila kunipigia, Kila nikiona namba mpya inapiga kny simu yangu moyo hunilipuka nikijua ni wewe lakini la.
Naomba please kama upo humu ndani unipigie tuongee.
Nilikua na mazoea ya kupitia bar flani hivi napiga mbili tatu kisha narudi nyumbani. Nikaweka mazoe na barmaid (ya kawaida tu) ambae alikua mcheshi siku zote nizokua nikifika hapa.
Majuzi wakati niko kwa ofc akanipigia akinambia yule bosi wake (alokua akimtaka kimapenzi) amemtimua kazi na ashaenda kukata tiketi ya kurudi kwao , na kule geto alikokua akiishi na wenzake ashatimuliwa.
Huruma ikaniingia. Nikamwambia anisubiri nikitoka kazini nitaonana nae.
Jioni niotoka nikampitia nikamkuta kweli amepaki mabeji yake nikamfanyia booking ya chumba ajihifadhi mpaka kesho akielekea kituoni.
Nikamwacha room lakini hakuridhia akanisihi tukae kidogo japo tupige stori mbili tatu. Kwakua nje yake kulikua na bar, basi nkamsihi tukae hapo bar tupige hizo stori.
Hata nivomuaga mara ya mwisho akanisihi kua muda umekwenda mno na kwa hali ile nisingefika niendako.
Nikazama nae mpaka room huku nikiwa na ndomu za kutosha tu kama ikitokea zitasave.
Time ya game ilivofika nilivaa kwa makini ile kitu lakini ilichukua muda mrefuu bila mi kumaliza nahisi ni kutokana na mapombe nilokunywa, mwenzangu akalalamika kua anaumizwa sana na kitu nilovaa.
Akatoa mafuta akanambia nivulie mbali ile ndom na nipakae mafuta ambayo ameniaminisha kua nikipaka sitapata mchubuko na tutakua safe wote. Pombe zangu kichwani zikaamini njia hiyo na nikatumika bila kinga!
Ivofika asubuhi mipombe isheniisha kichwani ndo naanza ku recall, Ayyaaaah metumika bila kinga miye!
Nikaamka zangu na kumwacha yule barmaid akijitayarisha kwa safari.
Basi wadau nina mawazo mwenzenu mpaka naumwa hivi nimesalimika kweli miye? Daaaah! Sijui nikapime miye! Uff!
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
We Dogo kweli wewe matatizo unaenda na strangers bila ndom! katika karne hii yenge TV na Mabango kila kona? du watu wengine kweli mnakufa siku sio zenuYote yananichanganya. Lakini hili la kutumia condom ndio linaniua kabisa. Laaaah!
Pole kwa kuchanganyikiwa.
Kilichokuchanganya ni ku share na bro au bro kusisitiza kama ulitumia condom?