Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Dec 7, 2010 #21 Ninae mmoja, ila mahari yake itabidi uwe houseboy wangu not less than ten years, mbali na mke wangu lakini.. usijeniharibia ndoa bure!!
Ninae mmoja, ila mahari yake itabidi uwe houseboy wangu not less than ten years, mbali na mke wangu lakini.. usijeniharibia ndoa bure!!
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,150 Reaction score 9,255 Dec 7, 2010 #22 The Finest said: Na mimi nakuunga na kichwa Click to expand... aaahhh bwana basi mi nakuunga na tumbo lol
The Finest said: Na mimi nakuunga na kichwa Click to expand... aaahhh bwana basi mi nakuunga na tumbo lol
B Bongemzito Senior Member Joined Nov 5, 2010 Posts 162 Reaction score 19 Dec 7, 2010 #23 Umeamua kutangaza nia kijana wangu....kila la kheri kwenye safari yako uliyoianza.
F Fernandes Rodri JF-Expert Member Joined Apr 11, 2009 Posts 519 Reaction score 256 Dec 7, 2010 #24 mtaani kwangu yupo, kweli ni mpweke, anafanya kazi katika ofisi ya serikali, tene ni mzazi hasa, ana watoto wanne aliozaa na wanaume tofauti, anaweza kuapply nafasi hiyo?
mtaani kwangu yupo, kweli ni mpweke, anafanya kazi katika ofisi ya serikali, tene ni mzazi hasa, ana watoto wanne aliozaa na wanaume tofauti, anaweza kuapply nafasi hiyo?