Binti mrembo ashangaza wengi baada ya kutangaza anaishi na virusi vya HIV*

Binti mrembo ashangaza wengi baada ya kutangaza anaishi na virusi vya HIV*

brasy coco

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
1,489
Reaction score
900
-Binti mmoja mrembo kutoka Afrika Kusini amesisimua mitandao jamii baada ya kujitokeza waziwazi na kukiri kuwa anaishi na virusi vya HIV
-Binti huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja ni thibitisho kuwa watu wanaoishi na virusi vya HIV wanaweza kuishi maisha ya kawaida na kutimiza malengo yao
-Wengi walitoa maoni wakimpa motisha huku wakimsifia kama aliyeshinda unyanyapaa
Tangazo la binti huyo liliwasisimua wengi mtandaoni ikizingatiwa bado kuna unyanyapaa kwa wanaoishi na virusi vya HIV.
Binti huyo kutoka Afrika Kusini na anayejulikana kwa jina Gcinniey Wase Mantungwen Coomaloe katika ukurasa wake wa Facebook alisema kuwa wengi wamekuwa wakitaka kumwona 'ana kwa ana' ili kuhakikisha kama waliyosikia ni ya kweli.

Aidha, alielezea kuwa hakuwa na wapenzi wengi na aliambukizwa virusi hivyo na "mpenzi aliyempenda na kumthamini sana"
"I'm HIV positive I wasn't sleeping around, I got it from someone that I loved so dearly n trusted but it turned out I trusted a wrong person, I forgive him n most of all I forgive my self for trusting too much" (Mimi ninaishi na virusi vya HIV. Sikuwa na wapenzi wengi. Niliambukizwa na mpenzi niyempenda na kumthamini. Hata hivyo, niling'amua baadaye kuwa nilimwamini mtu asiyestahili. Nilimsamehe na zaidi ya yote kujisamehea kwa kumwamini kupita kiasiView attachment 942769View attachment 942770
IMG_20181122_173626_341.jpg
 
Inaonekana wame mchefua roho kweli, kafunguka mpaka anachanganya English na hio Lugha yao (Unnoko nywe nyewe chaabe ngo' angsfo ngwebe mi babonakala ngokuzaca)[emoji15] . Hatari[emoji53]

She is a brave-hearted person though. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Bongo walo athirika wanaogopa kusema ukisema mbona had mfanyakaz wako atakaa mbali na ww watu waoga lakin chini wanapapenda, huo ndo mjadala kwa fb page, jamn jitangazeni mupunguze virus[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh aisee ngoja nitafute passport fasta nikajilipue mtoto yuko so magnetiki
 
Siku hizi hata vyuoni na maofisini wapo wengi tu kama huyu Dada na vigumu hata kuhisi ka wana ngoma.
 
Hapo wazungu waliotunga uongo wa HIV wanafurahil kuona waafrika tunavyodanganyana
 
Back
Top Bottom