Si facebook si lolote ni selfishness ya wanaume na mfumo dume hapa
Unajuaje labda, binti alimwahidi jamaa atampa moyo wake halafu amebadili mawazo na kumpelekea mwingine, aliyepewa mwanzo ameamua kuchukua moyo alioahidiwa.
Ubinafsi haupo kwa wanaume tu, hata wanawake wanao. Kuna wa2 wakipenda wanapenda kweli wapo tayari kujitoa mhanga siyo kudhulumiwa penzi lao.
hili tukio limetokea nchi gani?Waungwana hizi social network tuwe makini nazo binti mrembo ameuwa baada ya kukutana na rafiki wa facebook ambae amekuwa mpenzi wake, wakiwa hotelini jamaa mwengine ambae alikuwa x wa huyo dem akatokea na kuanza kumkata mapanga mpaka kumuua, angalieni na watu mnaokutana nao jaman mtapoteaTazama zaidi tukio zima hapa PICHA ZA BINTIBINTI ALIEUAWA KINYAMA KISA FACEBOOK ~ Hassbaby's (Mapacha)
Fesibuku umeichomekea hapo kuilaumu tu. Angekuwa jamaa aliyekutana nae fb ndio kamkata mapanga ndio ungetupia lawama hapo lakini mdada amekatwa na x wake.
Si facebook si lolote ni selfishness ya wanaume na mfumo dume hapa
Hakuna cha kupenda kweli, huo ni ujinga tu ndo unawasumbua baadhi ya wanaume we unashindwa kufanya mambo yako unaenda kufanya upuudhi kama huo kweli we zimetimia, unawaza future kweli? wakati huu si wa kupigania wanawake kama kweli mtu unajielewa...
sio ujinga wala upumbavu ni kitu kupenda na malengo mliyowekeana kisha yanakuwa tofauti,unaweza kuua halafu baadae ndo unaanza kujuta
Gazeti la uwazi kama sikoseiNauliza tena waungwana! Hili tukio limetokea nchi gani?
Si facebook si lolote ni selfishness ya wanaume na mfumo dume hapa