Pole! Ila wanaume mnashika bendera, angalieni tu msijeambukizana wote! Mi kuna rafiki yangu aliwahi chomwa kisu kisa kamkataa mkaka, nusura auwawe!!! Sasa sijui kumkataa/kumwacha bf ni dhambi ama nini? Sielewi....
Mbona mwandishi unakuza mambo sana jaribu kufikiria kichwa cha habari. Sio kauwawa kisa FB bali kafumaniwa issue ya walitongozeana wapi haihusiki na mauaji