Binti mrembo unatafutwa hapa!!!

Binti mrembo unatafutwa hapa!!!

Samil Silsih

Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
94
Reaction score
28
I am a Tanzanian, mixed (mtanzania na mturuki). degree holder,Mfanyabiashara, Tall, white.

Criteria
1.Binti mbantu halisi
2. binti mwenye haiba ya kudeka deka (napenda kubembeleza)
3. sibagui dini, kabila
4. Awe na ufahamu kidogo wa lugha ya kiingereza.
5. Mwenye asili ya kujipenda na msafi.

.. eager to see you .
 
Shombe shombe in da house, utawapata wajinga wenzio humu
 
Shombe shombe huwa ni wachovu kitandani.
Kama unajiamini just PM me.
 
nawapendaje shombeshombe ila kabla sijatuma maombi naomba anihakikishie kuwa yeye si KIBAMIA
Hujajua unachokipenda ila unajua unachokitamani if and only if you are serious kwa unachosema!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hahahahahahahaha
eti awe mwenye asili ya kudeka deka!
Preta ebu njoo udeke huku
daa jf raha tupu
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh, hivi walvyo wengi pia mnawatafuta!!!. Sijaona hii.
 
Umegegeda Warusi mpaka umechoka then unakuja kwa watanzania. Lo! Shame at you
 
Back
Top Bottom