Binti mrembo wa ki-iraq

Bupilipili

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
46
Reaction score
16
Wanajamii, nahitaji msaada wenu ktk hili.

...umepita mwezi mmoja sasa toka nikutane na binti mrembo toka kabila la Wa-iraq wanaoishi karatu...aisee ni binti mkali sana na mzuri wa moyo...(kwa kipindi hiki toka nimfahamu) kwa kudra za Mwenyezi naendelea kuomba awe mke wa ndoa.

Nauliza, mabinti wa kabila hili la wa-iraq wakoje yaani uhalisia wao kabisa...maana wahenga walisema "Ukipenda shirikisha walio nje ili upate kitu sahihi"

Tafadhali, mwenye ufahamu na mabinti wa kabila la wa-iraq anisaidie...

Nawasilisha wadau wa jukwaa!!!!
 
we vip si umependa binti bwana?sasa unauliza nini, utaambiwa mengine ambayo utakosa usingizi ndugu. stop this.
 
Ukimchunguza sana bata, huwezi kumla!
:focus:
Kaka unamuoa huyo binti tu na sio wanawake wa iraq wote, amini ya kuwa huyo ni binti mwema na usiache kumuomba Mungu ili asibadilike, awe ni binti wa kufanana nawe katika shida na raha!

 
Ukimchunguza sana bata, huwezi kumla!
:focus:
Kaka unamuoa huyo binti tu na sio wanawake wa iraq wote, amini ya kuwa huyo ni binti mwema na usiache kumuomba Mungu ili asibadilike, awe ni binti wa kufanana nawe katika shida na raha!



...naendelea kumuomba Mwenyezi...

af, binti kanihakishia "hajawahi kuguswa toka azaliwe"
 
Hata nimeshangaa ni wa - Iraq au wa-kiilaki ile ya bongo sijui wako mkoani singida-manyara-dodoma
 
"if you judge people, you have no time to love them", mother teresa.
 
we unaoa kabila au msichana ..

Tuko bomba sana.
kila kona tumekamilika.
nini zaidi unataka kujua.

hii ni kwa matumizi ya baadayeeeee
chagua akupendae na ambaye anafaa kuishi nawe.
Kabila, sura, dini, sijuu miguu, uso, **** hayata kufikisha mbali..
asante

Ngoja nikuitie wengine wakusaidie, Dena Amsi, Preta, Nyamayao, Desi Dii.... nk
 
Jamani sio wa Ki-iraq, ni wa Ki-iraqw. msiwe mnasahau kuongeza w mwishoni otherwise mtakuwa mnamaanisha watu wengine kabisa.

Wapo bomba sana..... OA haraka kabla watu hawajakuwahi. Huwa hawapendi kuzinguliwa, kama unahisi anakupenda kwa dhati kamata shuttle hilo mzee.
 

Aso'alowe desi rii. Fa'arta'ag
 
Nilijua hapa hautakosekana.....lol.....:eyebrows:...msalimie Catherine
 
usisahau kwenda ukweni kule iraq wanaweza kukupa hata uraia changamkia chance mwaego. Nashut down
 
Mmmm hawa wa-iraq kwanza weupe peeeeee,pili vigeugeu sana na watu wa kushoboka,pili ukimleta dar tu watu wanakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…