nimeipenda hiyo!!!yaeda au Dareda?mh usikasirike bwana!!!ila mlinitunza kijana wa watu!!!!UNANIKUMBUSHA MBALI WEWE!!CMSC,nikienda haydom,natulia hapo nilikuwa na toto la ukweli!!!!!ahhaaaa ntarudi tena mie!!!!!!!!
Dah,unajua hizo mitaa?Endasaki,Sabilo,Gedewari,Hydom sikufika ila napafahamu sana tumati,dongobeshi,....
kuna watu wanasema binti wa ki-iraq ni maharage ya mbeya... ni kweli?
wa iraqw, warangi,wambulu, wanyaturu,wanyiramba ni kama jamii moja. Jf bana mpaka hapa sijui kama jamaaa ataoa tena,yaani mmesiliba mno.
Miaka miwili high school nilisoma pale imboru karibu na sanu seminary,teh teh sijui kama umesikia kunaUsisahau kufika Saayo kama mbali hata Sanu basi ni karibu na town ya Imbolu sawa??
...naendelea kumuomba Mwenyezi...
af, binti kanihakishia "hajawahi kuguswa toka azaliwe"
wa iraqw, warangi,wambulu, wanyaturu,wanyiramba ni kama jamii moja. Jf bana mpaka hapa sijui kama jamaaa ataoa tena,yaani mmesiliba mno.
we unaoa kabila au msichana ..
Tuko bomba sana.
kila kona tumekamilika.
nini zaidi unataka kujua.
hii ni kwa matumizi ya baadayeeeee
chagua akupendae na ambaye anafaa kuishi nawe.
Kabila, sura, dini, sijuu miguu, uso, **** hayata kufikisha mbali..
asante
Ngoja nikuitie wengine wakusaidie, Dena Amsi, Preta, Nyamayao, Desi Dii.... nk
Miaka miwili high school nilisoma pale imboru karibu na sanu seminary,teh teh sijui kama umesikia kuna
mtaa wanaita aya maami
Dasu doren orkee.
Nimesoma mengi yaliyoandikwa humu kuhusu binti wa Ki-Iraq, naomba nieleze hadithi fupi kuhusianisha na jinsi watu walivyowaelewa binti zetu. " Kuna vipofu fulani walikutana na tembo (aliyekufa) na kila mmoja wao akagusa sehemu fulani ya mwili wa tembo. Baadaye kila mmoja wa hao vipofu alielezea jinsi tembo alivyo: mwingine alisema kuwa tembo ni kama ngao (aliyegusa sikio) na mwingine akasema tembo ni kama nyoka mkubwa (yule aliyegusa mkonga)".
Kila mmoja wa wale vipofu alimwelezea tembo kutegemea sehemu aliyoigusa na hivyo ni ukweli kuwa yale waliyosema ni ukweli ila ni kipande tu cha ukweli kulingana na sehemu aliyoigusa. Kila kabila lina mazuri yake na mapungufu yake kutegemeana na utamaduni wake na mazingira yao. Mapungufu (yale ya kweli) ya dada zetu tuyachukue kama changamoto na nina imani watayafanyia kazi. Kwa yale mazuri yaliyotajwa wamshukuru Mungu.
Kitu kimoja ambacho ninapenda kutahadharisha ni kuwa wengine wametaja sifa zingine kadiri kila mmoja alivyokutana na mmoja wa binti hao hivyo siyo ukweli kwamba ukweli wote uko hivyo.