ngumo kakola
New Member
- Sep 17, 2012
- 2
- 0
salaam wana JF mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26 natafuta binti wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, awe na umri wa miaka 20-25,rangi maji ya kunde,asiwe mfupi sana wala mrefu sana,asiwe mnene sana,elim kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe anafanya kazi,kama yupo ajitokeze'