ngumo kakola
New Member
- Sep 17, 2012
- 2
- 0
mbona hao umri upo mbali na vilevile ni watu wa watu kama ruttashobolwa na madameB. Anyway LARA1 hana mtu labda ajaribu huko.
mbona hao umri upo mbali na vilevile ni watu wa watu kama ruttashobolwa na madameB. Anyway LARA1 hana mtu labda ajaribu huko.
Umri upo mbali ??? una hakika???.....afu bahati ya mtu huwezi jua hata kama wana watu wao bahati inaweza kumwangukia kijana tehe!
Sweetlady mwambie huyo mgeni Tunaweza kuoana kwa Mkataba kama dau lake liko njema,
Nitampumzisha Rutta wangu kwa muda.