Binti Ng'wasi Damas Kimani:Aliyeshawishi wajumbe kumpitisha Samia kuwa mgombe Pekee CCM

Binti Ng'wasi Damas Kimani:Aliyeshawishi wajumbe kumpitisha Samia kuwa mgombe Pekee CCM

Uchumi TV

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
33
Reaction score
31
Huyu binti Ngwasi wengine wakiumuita Mwasi ni mbunge kupitia vijana na anatokea mkoa wa Mwanza. Pia ni mwanasheria ambaye aliwahi angaziwa ahapa JF kupitia uzi huu.


jana katika mkutano wa CCM sijui kama alipangwa au ni kwa bahati lakini hoja yake inaingia katika historia pale hoja yake ilivyobadili kabisa upepo wa kisiasa ndani ya chama hicho hadi kubadili ratiba na agenda za mkutano mkuu ulipogeuka na kuongeza agenda za kuwateua wagombea urais bara na zanzibara pamoja na mgombea mwenza.

unaweza kutazama uwezo na ujasiri wa binti huyu na kilichotokea katika mkutano huo.

Swali kuu ni. Alipangwa au ilitokea kwa bahati tu.

View: https://www.youtube.com/watch?v=LCG3vC0XXGQ&t=161s
 
Tetesi toka Twitter zinasema huyo binti alitumwa, alipokea maagizo afanye hivyo. Yale yote yaliyofanyika yalikuwa ni maigizo kutokana na maagizo.


Kila kitu kilikuwa kishaandaliwa. Lile tukio lilikuwa well scripted, kwa wajuzi wa mambo wenye uzoefu wa hali ya juu walishtukia hilo suala kuwa lilikuwa lishapangwa.
 
Huyu binti Ngwasi wengine wakiumuita Mwasi ni mbunge kupitia vijana na anatokea mkoa wa Mwanza. Pia ni mwanasheria ambaye aliwahi angaziwa ahapa JF kupitia uzi huu.


jana katika mkutano wa CCM sijui kama alipangwa au ni kwa bahati lakini hoja yake inaingia katika historia pale hoja yake ilivyobadili kabisa upepo wa kisiasa ndani ya chama hicho hadi kubadili ratiba na agenda za mkutano mkuu ulipogeuka na kuongeza agenda za kuwateua wagombea urais bara na zanzibara pamoja na mgombea mwenza.

unaweza kutazama uwezo na ujasiri wa binti huyu na kilichotokea katika mkutano huo.

Swali kuu ni. Alipangwa au ilitokea kwa bahati tu.

View: https://www.youtube.com/watch?v=LCG3vC0XXGQ&t=161s

I know this network
 
Huyu binti Ngwasi wengine wakiumuita Mwasi ni mbunge kupitia vijana na anatokea mkoa wa Mwanza. Pia ni mwanasheria ambaye aliwahi angaziwa ahapa JF kupitia uzi huu.


jana katika mkutano wa CCM sijui kama alipangwa au ni kwa bahati lakini hoja yake inaingia katika historia pale hoja yake ilivyobadili kabisa upepo wa kisiasa ndani ya chama hicho hadi kubadili ratiba na agenda za mkutano mkuu ulipogeuka na kuongeza agenda za kuwateua wagombea urais bara na zanzibara pamoja na mgombea mwenza.

unaweza kutazama uwezo na ujasiri wa binti huyu na kilichotokea katika mkutano huo.

Swali kuu ni. Alipangwa au ilitokea kwa bahati tu.

View: https://www.youtube.com/watch?v=LCG3vC0XXGQ&t=161s

Huyo ni miongoni mwa mabintinwengi waliopitia mikononi mwangu,nimeongea nae sana hajapangwa na mtu ni yeye tu aliibuka na kusema na tayari ramani ya maisha yake imechange.
 
this was pre-meditated and ocherstrated
 
Tetesi toka Twitter zinasema huyo binti alitumwa, alipokea maagizo afanye hivyo. Yale yote yaliyofanyika yalikuwa ni maigizo kutokana na maagizo.


Kila kitu kilikuwa kishaandaliwa. Lile tukio lilikuwa well scripted, kwa wajuzi wa mambo wenye uzoefu wa hali ya juu walishtukia hilo suala kuwa lilikuwa lishapangwa.
Na alitumwa kweli matendo/ conduct ya ccm ilikuwa wazi.

Manake mwenyekiti wa chama alimtaja akampa nafasi
 
Hujui Tu Huyo Ni Mwajiriwa Pale, Na Hicho Siyo Kitendo Cha Kushtukiza Bali Mipango Ilikuwa Sawa Sawa
 
Tetesi toka Twitter zinasema huyo binti alitumwa, alipokea maagizo afanye hivyo. Yale yote yaliyofanyika yalikuwa ni maigizo kutokana na maagizo.


Kila kitu kilikuwa kishaandaliwa. Lile tukio lilikuwa well scripted, kwa wajuzi wa mambo wenye uzoefu wa hali ya juu walishtukia hilo suala kuwa lilikuwa lishapangwa.
Mastermind wa lile tukio la kukwepa utaratibu ni Nchimbi. Alimshauri mama amsaidie namna ya kugombea bila kugombea na akaahidiwa u VP kama huo uhuni utafanikiwa!
CCM sina hamu nao aisee.
 
Huyu binti Ngwasi wengine wakiumuita Mwasi ni mbunge kupitia vijana na anatokea mkoa wa Mwanza. Pia ni mwanasheria ambaye aliwahi angaziwa ahapa JF kupitia uzi huu.


jana katika mkutano wa CCM sijui kama alipangwa au ni kwa bahati lakini hoja yake inaingia katika historia pale hoja yake ilivyobadili kabisa upepo wa kisiasa ndani ya chama hicho hadi kubadili ratiba na agenda za mkutano mkuu ulipogeuka na kuongeza agenda za kuwateua wagombea urais bara na zanzibara pamoja na mgombea mwenza.

unaweza kutazama uwezo na ujasiri wa binti huyu na kilichotokea katika mkutano huo.

Swali kuu ni. Alipangwa au ilitokea kwa bahati tu.

View: https://www.youtube.com/watch?v=LCG3vC0XXGQ&t=161s

Yote hayo yalipangwa na ni uvunjifu mkubwa wa katiba kufanya hayo waliyofanya jana CCM ni aibu kubwa kwa binti na CCM kwa ujumla kujisifu kwa kuvunja katiba ya chama chao!
 
Back
Top Bottom