Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kazi za ndani kwa umri huo?Age 2004,kabila mhehe,kiwango anachotaka cha salary kuanzia 100000.Karibuni inbox
Anafikisha 18 lini?anaelimu ya kiwango gani?Anaishi wapi kwa sasa?Huyo bado ni minor.Miaka 17 hawez kaz za ndani? Kweli mkuu?
Hapana,hayo mengine sio tatzo ila kama ni kazi ya dukani na mshahara ni laki 1 plus ni muhimu awe 18+ Ni mtazamo wangu tu.Anafikisha 18yrs lini?Kuna mtu anaweza mpatia kazi.Ha ha haa,wewe una mengine uwazayo mkuu
Anampa kazi bosi, huyu hataki ajira ha ha haKwanini usiweke umri kabisa, tukifuata protocol ya uandishi hapa umefeli maana unampatia mwajiri wako kazi ili afikiri na kutoa majibu
Kampuni yako inahusika na nini? Lisije likawa danguro. Muwe na huruma na watoto wa wenzenu!Nipigie aje kwenye kampuni yangu Ila nauli juu yake ....0784401248
Jmn mkuuKampuni yako inahusika na nini? Lisije likawa danguro. Muwe na huruma na watoto wa wenzenu!