Binti wa kihindi ananitesa...

Duh we kweli gazeti. Tumia gazeti kumtokea, unampelekea gazeti halafu unamwandikia maneno humu ndani
 
Duh kweli JF balaa.. Hilo duka ni computronix huyo dada nadhani ni tabia yake. Anawaminyia jicho ili mshindwe kunegotiate bei tu nothing more!!

Kama we uliminywa huko basi hilo ni duka lingine lina tabia hiyo
but nimependa si kwa sababu ya kuminywa upo bonge?
 
Duh kweli JF balaa.. Hilo duka ni computronix huyo dada nadhani ni tabia yake. Anawaminyia jicho ili mshindwe kunegotiate bei tu nothing more!!
Jamaa atakuwa keshanunua hard disc zisizo na kazi zaidi ya kumi na atakuwa kafirisika tayari kuminywa kidole tu sasa akikukonyza jicho kisha akuambie ana shida ya million mbili si utaenda kuiba
 
ukisikia uhesharatii....... ndio huo.!! angalia, "uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti"
 
Kivipi? Sijakuelewa Kongosho!

Ana mana kadelete hiko kipande/komenti uliyoelekeza alipo huyo binti unatupa majaribu ya kwenda kumfuata,hatimae utakuta umezidiwa kete na wajanja wa humu jf,
 
jus tell her, ''tumse pyaar ki he''..............
 
Hapo kwenye Red huwa nasikia sana hizo story ingawa sina uhakika kama zina
ukweli please kama kuna mtu ana ushahidi kuwa imewahi kutokea ni vizuri akitufahamisha.

M2 wangu it's TRUE.
 

Kariri lyrics za Kuch kuch o tae!! mzee hapo inawezekana au co.
 
Umemtamani mhindi; kwa kuwa unavutiwa nao. Inawezekana kabisa ni hisia zako tu ukadhani kakuminya mkono. Tuliza akili kijana ujiridhishe kama kweli ana nia na wewe. Endelea kumtembelea hapo dukani na ukiona haonyeshi dalili zozote ujue ni tamaa zako tu. Na kama ana nia na wewe kila kitu kitaenda vizuri tu.
 
Dogo huyo mpelekee uwa na mkufu wa dhabu kama siku ya pili hujala halua ya kihindi...hao pesa iko mbele kuliko kitu cochote.
 
Pale nenda ukamwambie.."kuch kuch hota hai, meri kasam yo lardhi kye, jismi hordaagaya cheuro margeya'' hapo unabeba mzigo mkuu
 

Unajua kuimba
 
Jitaidi kaka bt hao kuwapata ngumu kutokana na unyanyapaa wao kwa ngoz nyeusi na hata akikupenda yeye utaambulia ugirlfriend na boyfrnd 2. Ukijitaidi sana ni mate na kupewa tigo cause hao wanatakiwa waolewe wakiwa bikra.

Ngugu yangu usijalibu kula Tigo ya kihindi si unajua wale jamaa kwa pilipili?jaribu uone moto.ushawai guswa na pilpili ktk ngozi laini?utaungua.
 
Acha domo zege! Chelewa chelewa utakuta mwana c wako! Hana tofaut na weus huyo!
 
wee amita bachani bado tu hujampata huyu shori?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…