zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
We apply,jaribu bahati yakoMimi mtanga nina sifa zote, ila nina watoto 3 kila mmoja babake, naweza apply?
Dada yako ila c wewemimi ni ME mzaliwa wa tanga, dada yanga anasifa zote hizo, hujaweka wazi nini malengo yako na mtu mwenye sifa hizo!!!
malengo ni awe mchumba then mke....mimi ni ME mzaliwa wa tanga, dada yanga anasifa zote hizo, hujaweka wazi nini malengo yako na mtu mwenye sifa hizo!!!
Anamtafutia dada ake,cjui kamwambiaKumbe kuna makuwadi humu ndani, doooh jf