Binti wa miaka 11 abakwa na babu zake wawili Dar es salaam

namanyele

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
1,852
Reaction score
610
Katika hali isiyo ya kawaida binti wa miaka 11 anayesoma darasa la sita alibakwa na babu zake wawili wenye zaidi ya miaka 50,tukio hilo lilitokea nyakati mbili tofauti wakati tukio la kwanza alibakwa mwezi wa 7 tena akabakwa mwezi wa 10,kwa mujibu wa mama wa mkazi wa Mbezi maramba wawili alitoa taarifa kituo cha polisi lakin ndugu za mume wake wamemjia juu mama wa mtoto kwa kutoa taarifa za siri hadharani ambapo mpaka sasa kuna malumbano makali baina ya mama mtoto na ndugu wa mume wake. source:THE AFRICAN
 
Dunia ishaisha. No busara lazma walazwe jela miaka 30.
 
Kesi ikifika mahakamani na ukweli kujulikana bila shaka hawa washenzi watafia gerezani. Inabidi mahakama iwe kali kwa hili ili kuwakatisha tamaa wengine wenye mawazo na mipango hii.
 
hawa bila shaka watakua wazaramo....sio mbaya kwa tamaduni zao na ndio maana hii kitu itaisha kimya kimya..........
 
Hawa wanatakiwa baba mtoto awalawiti mbele ya huyo binti ili iwe fundisho maishani mwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…