Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 173
- 465
Habarini wapendwa!
Kuna msichana wa miaka 25, Yupo Dar es Salaam, anatafuta kazi za Supermarket, Bakery Shop, Stationaries, Duka la Nguo/Duka la Vipodozi, Duka la Uwakala wa Miamala, Duka la Vinywaji baridi(Siyo grosary) na Mengineo ya kufanana nazo.
Kama una muitaji wasiliana na mimi kwa DM nikuonganishe naye.
Kuna msichana wa miaka 25, Yupo Dar es Salaam, anatafuta kazi za Supermarket, Bakery Shop, Stationaries, Duka la Nguo/Duka la Vipodozi, Duka la Uwakala wa Miamala, Duka la Vinywaji baridi(Siyo grosary) na Mengineo ya kufanana nazo.
Kama una muitaji wasiliana na mimi kwa DM nikuonganishe naye.