Binti wa Mkenya Prof. Makau Mutua kuamua kesi kortini Dar-es-salaam kama Hakimu Mkazi

Ndio maana nikasema uwe makini, anatongozeka lakini sio kwa zile zuga zenu za uswazi, azima gari na koti nenda Oysterbay wakati anapata msosi kisha cheza show fulani hapo akuelewe.
Mkuu

Hiki Kiswahili cha Dar kabisa!

Ulishakaa TZ?How long?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…