JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Tukisema Kenya, ni, akili kubwa, tuwe tunaelewa, binti wa Raisi yupo anahojiwa Citizen, ni mjasiriamali katika kilimo, anafuga nyuki, analima, anasaidia vijana.
Huku kwetu ni nadra Sana kusikia watoto wa wakubwa wanafanya ni ni! Kama, sio, wapo, wamepenyezwa sekta tamu, watakuwa, wanafanya, ufisadi kila kona ya nchi.
Huku kwetu ni nadra Sana kusikia watoto wa wakubwa wanafanya ni ni! Kama, sio, wapo, wamepenyezwa sekta tamu, watakuwa, wanafanya, ufisadi kila kona ya nchi.