Binti wa Rais Ruto ni Mjasiriamali katika kilimo, anafuga nyuki, analima, anasaidia vijana

Binti wa Rais Ruto ni Mjasiriamali katika kilimo, anafuga nyuki, analima, anasaidia vijana

JUAN MANUEL

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
7,808
Reaction score
16,972
Tukisema Kenya, ni, akili kubwa, tuwe tunaelewa, binti wa Raisi yupo anahojiwa Citizen, ni mjasiriamali katika kilimo, anafuga nyuki, analima, anasaidia vijana.

Huku kwetu ni nadra Sana kusikia watoto wa wakubwa wanafanya ni ni! Kama, sio, wapo, wamepenyezwa sekta tamu, watakuwa, wanafanya, ufisadi kila kona ya nchi.
 
We unafikiri msingi kiasi gani amewekeza huko kwenye biashara?Je wewe unao huo msingi?
 
Back
Top Bottom