Binti yako kama hana elimu asikanyage Dar es Salaam

Sjawahi kujua kwann nyie mlioko dar mnaaminisha watu upuuz kwmb wakfka dar kila ktu knabadilika yan n kufanikiwa tu wkt si kwel eti misosi sjui ndo ipi hiyo samaki vibua, dagaa mchele, miguu ya kuku au visgno vya kuku, utumbo wa nguruwe watu dar wana maisha magumu sn sn napaelewa vema nimezaliwa huko nimesoma huko mpk university udsm kwaiyo hakuna wa kunidanganya kwasasa npo kanda ya ziwa sjawahi tena kushawishka kurud kuish dar acha kupotosha watu.
 
kwa sababu una akili ndio maana unalielewa hilo, ila hamna aliyepotoshwa hapo. mimi nimetoa elimu kwa wanaoingia dar wasiige maisha ya watu, au wazazi wawafatilie watoto wao pindi wanaenda kwa ndugu na kukaa muda mrefu.
 
Temeke Mtoto mzuri 2k tu dar Miaka ijayo Watsjiuza kwa 1k , Samani yao imeshuka.
 


Elimu, sio, kabisa kigezo cha kuishi Dar.
 
Wanawake wote unaowaona dsm Ni kama bots ,ukiwa na Hela unarequest tu ...pisi hiyoo hapo ,unakula mpaka morning [emoji560]
 
Elimu ipi ulioikusudia? hao wenye degrees hapa mjini wengi wao nao ni makahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…