Jaribu kuonana na wataalam wa magonjwa hayo (Urologist) hapo muhimbili wanaweza kumsaidia
Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Tia ndani yake hilo kwato kaa la moto, Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe alinuse kisha hukohuko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah
-Akisha maliza kutumia kisha unipe mimi Feedback Source: PhD Mzizimkavu
hii ipo kwenye taaluma ya Mitishamba Mkuu unasemaje?Samahani mkuu, hii ni aina gani ya tiba? Nikimaanisha ime-base ktk taaluma ipi?