binti yup anaejiweza yuko tayari kupata pendo langu la kweli?

binti yup anaejiweza yuko tayari kupata pendo langu la kweli?

Al_morinaga

Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
38
Reaction score
2
hii ni seriouz,me kijana 23yrz,nina mapenz ya kweli kbisa kwa ataenipenda..nina elim nzuri,sina kaz bt kusaka naweza,so natafuta bint asiwe mnene, anaejiweza i mean ana kazi,ataenipenda as nilivo..email yangu hii.
Kellykifesi@yahoo.com
au anifate fb..kwa jina la:Kisula Reallove
 
Duuh pendo la mnada hilo...halafu full kulelewa.
 
miaka 23????????
Si ni umri wa kuwa shule huu?
 
miaka 23????????
Si ni umri wa kuwa shule huu?

katakuwa ndio kanamalizi au kamemaliza chuo hivi karibuni! halafu vitoto vya siku vina haraka! sijui ni infatuation!
 
daah 23 umeshndwa kupata mchuchuu shule zote ulizosoma, maeneo unayoish, mazngra unayozsaka, n.k mpaka uje utafute hapa. eny wei Mungu anajua njia zako.
ni vema zaidi hata ungetafuta mwenza kwenye foleni za benk au Tanesco kama kwenu hamna LUKU.
...Ni mtazamo wangu tu.
 
Kula kuliwa ukahaba tu na pepo la ngono, tafuta maisha unawashwa nini? Huo uchi unaoukimbilia utaupata hadi magoti yakulegee.
 
hii ni seriouz,me kijana 23yrz,nina mapenz ya kweli kbisa kwa ataenipenda..nina elim nzuri,sina kaz bt kusaka naweza,so natafuta bint asiwe mnene, anaejiweza i mean ana kazi,ataenipenda as nilivo..email yangu hii.
Kellykifesi@yahoo.com
au anifate fb..kwa jina la:Kisula Reallove

unataka kulelewa...?.....mbona utakaa sana.....
jaribu kuongeza elimu kwa umri wako bado sana.....
labda unaweza kutoka.....ila kwa mwendo huu....mmmh.....

 
Inaonekana unapenda dezo maana bado kijana mdogo na hata kazi huna japo unadai unaweza kuzisaka.
Ingeka ni binti(23yrz)kutaka kuolewa nisinge jiuliza sio mvulana.
Kwa dalili ulizoonyesha kutaka kulelewa nakushauri vuta subira na ujishughulishe vinginevyo madume machafu yaTakuhudumia na mwishowe itabidi ulipe fadhila kwa KUWAHUDUMIA
 
Back
Top Bottom