Pole mkuu, huenda nyie ndo mlichaguliwa na TAMISEMI mkaenda kuijulia hiyo kozi hukohuko chuo, so mkasoma ilimradi, ila ni suala la muda tu mambo yatakaa vizuri, usidhani utamaliza chuo leo then kesho upige pesa.Haha nyie mnaoshauri na kusisitiza kozi fulani hulali njaa kuweni makini nasisi tumesoma izo kozi mnazoita hulali na njaa na tumepigika japo hatujakata tamaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sure!!! Big upppp!!!Pole mkuu, huenda nyie ndo mlichaguliwa na TAMISEMI mkaenda kuijulia hiyo kozi hukohuko chuo, so mkasoma ilimradi, ila ni suala la muda tu mambo yatakaa vizuri, usidhani utamaliza chuo leo then kesho upige pesa.
Kipindi cha mpito lazima kiwepo, na ni jambo la kawaida tu.
Ila ukisoma na ukawa vizuri na kazi zako zinaonekana hata ukiwa field utaona unaanza kupata connection.
Mkienda uwandani msiende kuuza sura, jifunzeni kila mnalopaswa kujifunza. Site uwe vizuri na software uwe vizuri pia.
Kijana soma kitu chochote utakachochaguliwa,kwa kuwa maarifa ni kama mtori na Nyama/ajira ziko chini ya mtori.Tafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki.
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please [emoji120]
au ushauri...!
Ningekushauri soma hii kozi! Miaka 3,4 ijayo Hospital za Tanzania zitakuwa na mashine za kutosha so ajira zitakuwepo lakini pia chance ya kujiajiri ni kubwa sanaTafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki.
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please [emoji120]
au ushauri...!
Soko la ajila ni finyu sana, kasome pharmacy au lab au dental au hata clinical medicine au nursing, hizo ni kada zinazohitaji watu wengi kwa mkupuoTafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki.
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please [emoji120]
au ushauri...!