Biomedical engineering

Biomedical engineering

Hakuna kozi mbaya km una uhakika na ajira.
Hakuna kozi nzuri km utateseka na usambazaji wa bahasha za vyeti.
Kila la kheri.
 
Nzuri sana, wapo wachache na wanatafutwa mno. Ukipata chance ya kuiendea usifanye makosa
Una uhakika wanatafutwa ? Mbona hatuoni wakiajiriwa? Yes kwa upande wa shahada nakiri kusema bado wachache kwa maana degree yake iko arusha tech na muhimbili pekee ila kwa upande wa diploma madogo wame graduate kibao kitaani na hawana michongo ,,,,vyuo vinavyotoa diploma in biomedical and equipment engineering ni pamoja na dit must na arusha tech (ATC) .na vijana wa shortcut imekuwa ndo kimbilio lao kama ilivokuwa kwa civil engineering hapo mwanzo ....NB: kuna upungufu mkubwa wa hawa watu mahospitali na hata wakiajiriwa wote waliopo mtaani bado kutakuwa na uhitaji tena...rejea mwanzo wa bandiko ili unielewe vizuri
 
Mkuu umerudi kwenye fani
Hebu wape somo, lakini usiwakatishe tamaa....
Hospitali mpya zinaongezeka......
Ha ha ha ha ,shida siyo ajira,shida siyo hospitali !

Shida ni sera ya wahandisi wa vifaa tiba kwa nchi haipo!

Trust me ,unaweza kwenda Hospitali ya rufaa na degree yako ya uhandisi wa vifaa tiba ukaonekana hauna lolote na the best akawa ni mhandisi wa kutoka kwenye kampuni!

Mashine (Haematology analyzer) very simple machine to handle it,lakini supply ni Anudha na ameficha kila kitu kwahiyo machine iliikiharibika atafitwe yeye.Wewe hata Kama una Master's degree hiyo mashine hutaiweza kamwe na utaonekana kilaza
 
Je ni kozi nzuri?
Kama wewe ni mtoto wa mkulima..

Kama wewe baba ako sio kada wa chama..

Kama wewe huna koneksheni..

Na kama wewe unaishi Tz..

Nakushauri kaa mbali na hiyo kozi!!

Ila kama unataka kusomea engineering.. kasome moja wapo kati ya hizi..

1. Civil engineering.

2. Electrical

3. Mechanical

NB: Hizo kozi mpya ni mzuri lakini ni risky, bado nawakumbuka watu wa petrolium engineering na telecom!!
 
Kama wewe ni mtoto wa mkulima..

Kama wewe baba ako sio kada wa chama..

Kama wewe huna koneksheni..

Na kama wewe unaishi Tz..

Nakushauri kaa mbali na hiyo kozi!!

Ila kama unataka kusomea engineering.. kasome moja wapo kati ya hizi..

1. Civil engineering.

2. Electrical

3. Mechanical

NB: Hizo kozi mpya ni mzuri lakini ni risky, bado nawakumbuka watu wa petrolium engineering na telecom!!
Kwani tanzania kuna kozi za petroleum
 
Back
Top Bottom