Habari za kazi ndugu!
Mi ni mwanafunzi wa Biomedical Engineering niko mwaka wa pili na nikiingia mwaka wa tatu inabidi nichague upande ambao nitaendelea kusoma medical devices, nikiwa na maana ya kutengeneza na kudizaini au tissue engineering.
Nilikuwa naomba maoni yako kujua ni upande upi ni sahii zaidi kwa hali yetu Tanzania.
Ni hilo tuu