Biometric voter system

chash

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
548
Reaction score
230
Tafakari. Imagine. Kenya inatumia mabilioni ya hela kununua voting kits ambazo kati ka nchi zingine zinafanya kazi vizuri lakini Kenya zina fail. Hii inaelezeka vipi? Uafrika kama kawaida? ujinga? rigging? Je kulikuwa na money back guarantee? vitarudishwa vikatengenezwe ili kura zijazo zitumike tena? mimi nahisi zilitengenezewa river road na zinaleta aibu. Ma nchi mengine bora yamrudishe mkoloni. Bure kabisa
 
mkoloni aanze kurudi tanzania,tumeshindwa kujitawala
 
Kwani zilishindwa kufanya kazi, au wameshindwa kuzitumia? Si nasikia kuna mdudu mtu ndo kazivuruga
 
Kinana anafanya kazi nzuri,hongera Uhuru
 
Mpaka sasa wanahesabu manually Uhuru kenyatta 2.3m votes while Raila A. Odinga 17m votes jibaba Raila safari hii umekalia kuti kavu utarudi kwenu ukavue samaki maana hutapata cheo chochote kama ulivyoonewa huruma last time 2007/08 ukapewa uwaziri mkuu
 

Uhuru ameshinda kweli nadhani wajaluo walisahau kujiandikisha kura kwa wingi ila sasa ngoma ya hague sijui itachezwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…