Ni tamaduni na sii imani, chakula cha biriani huliwa sana maeneo ya uarabuni, na hiii imetokana na siku na sherehe ya mwisho wa kila wiki baada ya ibada ya ijumaa, kama ilivyo kwa tamaduni zengine za wasabato kula makande jmoss na wakristo kula pilau j2 hivyo hvyo kwa jumaa ni Bririaniiii mbuzi kwa wingi [emoji16]