Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Haya...mi nataka na kachumbari pia mama!!!Weye huna haya ya kualikwa mana karamu ipo nyumbani kwenu andaa ile sosi ya ukwaju basi
Ahsante sana sasa menu imekamilika!!Hahaha kachumbari umepata si unajua Leo yaumul el Jummaa milo ni pilau View attachment 244374
Aisee
Asante sana mmy wangu
Yummy
Kesho napika hii
aisee, imetulia hii kitu. siku yake nilijaribu namie. asante kwa maujuzi
Da farkhina , mwenzio si nikajaribu kuipika hii biriani, tena siku hiyo sikwenda "kibaruani", nkasema ngoja nimfanyie suprise "mwafulani". Nikapika ndizi utumbo za nazi mana ndizo zilikuwa kwenye ratiba siku hiyo kisha nkasema ngoja nipike na biriani ya Da Fa' kidogo as surprise. Mchele sikutumia Basmat, lile chele lilijua kunchezea!lilitoka bokoboko si bokoboko, ubwabwa si ubwabwa utadhani wali ule tuliokuwa tukila enzi zile shule za bweni za serikali. Nikawa mdogo kama nukta!
Da farkhina , mwenzio si nikajaribu kuipika hii biriani, tena siku hiyo sikwenda "kibaruani", nkasema ngoja nimfanyie suprise "mwafulani". Nikapika ndizi utumbo za nazi mana ndizo zilikuwa kwenye ratiba siku hiyo kisha nkasema ngoja nipike na biriani ya Da Fa' kidogo as surprise. Mchele sikutumia Basmat, lile chele lilijua kunchezea!lilitoka bokoboko si bokoboko, ubwabwa si ubwabwa utadhani wali ule tuliokuwa tukila enzi zile shule za bweni za serikali. Nikawa mdogo kama nukta!
Hahahahah pole sana huo mchele uliweka maji mengi Nini?
I see pole
Yeah ni tamu sana kuliko biriani ya nyama au Kuku
Angel Nylon njoo huku kuna mambo matamu lol
Jamani mbona nlipitwa Na hili pishi?
Nakuunga mkono, biriani ya samaki nzuri, tamu tena zaidi ya tamu.
Big up Mumie