Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Sisi hatuna pesa za FREEMANSON
Beyonce and jay Z grew up poor.kwa hiyo let them spend
Najua kuwa matatizo yetu hayawahusu, ila laiti wangejua kuwa wenzao huku hata maji safi ya kunywa bado ni shida!
Sisi hatuna pesa za FREEMANSON
Ngoja watanue Duniani, Hawawezi kuona Pepo.
Baada ya muda si mrefu watawafuata akina Evanda,Tyson,MC Hammer,miafirka kwa ulimbukeni hata ikiwa wapi kazi buure
Waache wajienjoy. hata tungepewa hizo pesa zingeishia uswisi na mifukoni mwa watu binafsi
Baada ya muda si mrefu
watawafuata akina Evanda,Tyson,MC Hammer,miafirka kwa ulimbukeni hata
ikiwa wapi kazi buure