Birthday ya Makonda yakosa Shangwe, Chawa waingia mitini

SIFA ZA CHAWA HAWA NI KUKUMWAGIA SIFA MPAKA UWASHWE!NI KUJICHEKESHA CHEKESHA TU MPAKA KWA PAKA AU MBWA WAKO.
AKIISHA KUKUMBIA, ANAKWENDA KUTOA SIRI ZAKO ZOTE KWA MPINZANI WAKO
 
Kesi yake lazma upande wa kubenea akae Mtobesya na Malya
 
Hiyo kawaida ukiwa na k2 utakuwa na marafiki kama wote cku v2 vkiisha ukigeuka nyuma humuoni hata m1.
Inategemea ulikuwa na tabia gani ! Kama ulikuwa unajisikia sana kweli utakuwa pekeyako! Lakini kama ulikuwa muungwana na haukuwa na dharau watu wengi tu watakuwa upande wako !
 
Hapendwi mtu mpaka awe na kitu!!!!

Simple!!!!!
Itategemea na tabia uliyokuwanayo wakati pesa ilipokutembelea, kama ulikuwa unajidai na pesa zako au wadhifa wako basi ujue ukiishiwa utabaki peke yako !!!
 
Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE zama zake zimekwisha
 
Mzilankende Kuondoka Jamaa Kapata Pigo Mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…