Biscut za jam

Biscut za jam

naisweet

Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
47
Reaction score
9
BLUE BAND ROBO

VIINI VYA MAYAI VITATU

BAKIN POWDER VIJIKO 2,

ROBO SUKARI

UNGA UTAKISIA

VANILA AU JUICE YA MACHUNGWA
NAMNA YAKUFANYA
Utachukua siag yako utachanganya na sukari utasaga ikiwa tayar imesagika utaeka mayai yako pamoja na vanila au juice upendavyo halafu utaeka unga pamoja na bakin powder utakisia unga kwa kweli mm.nakisia sina kipimo ww ukiona imeshikana unaweza kufanya duara ujue tayar usiwe mgumu utafanya round kati kati utaeka kitobo ueke jam ukimaliza utachoma karibuni wapenzi mpo pamoja nami
 
najaribu kusend photo lakin haikubal sijui kwann mwenye ujuz anifahamishe zaid
 
najaribu kusend photo lakin haikubal sijui kwann mwenye ujuz anifahamishe zaid

Kama unatumia simu kuna kitufe cha pili toka kushoto just after camera and before tweeter sign ukikibofya kitakupeleka kwenye gallery pic zako from your phone then ichague ya biscuit then utakapoi-attach itaonekana Kama number flan and PG just send it then picha itatokea ndugu nazisuburia hapa halafu NISAIDIE wewe unga umeweka kiasi gani?
 
Kama vilejaaa isipokua vileja waweka na samli kidogo.. naisweet waweza kupaka ute wa yai juu yake before kuweka jam?
 
Last edited by a moderator:
yeah unaweza mpenz halafu utaeka jam unaweza kueka hata njugu ulizo ziparaza
 
Kama unatumia simu kuna kitufe cha pili toka kushoto just after camera and before tweeter sign ukikibofya kitakupeleka kwenye gallery pic zako from your phone then ichague ya biscuit then utakapoi-attach itaonekana Kama number flan and PG just send it then picha itatokea ndugu nazisuburia hapa halafu NISAIDIE wewe unga umeweka kiasi gani?

haikubali mpenzi.nishafanya natumia simu inakuja empty paper sijui kwann na unga mm nakisia tu kawaida sina vipimo ww eka ukiona imeshikana na inafanyika duara bas ujue tayar
 
haikubali mpenzi.nishafanya natumia simu inakuja empty paper sijui kwann na unga mm nakisia tu kawaida sina vipimo ww eka ukiona imeshikana na inafanyika duara bas ujue tayar


Kuna wakongwe wa kila JUKWAA jamani waambie wakuzungukie hapa na utapata somo maridadi.

Hapa ni Jf bhana.
 
Kuna wakongwe wa kila JUKWAA jamani waambie wakuzungukie hapa na utapata somo maridadi.

Hapa ni Jf bhana.

sio kma siijuilii ila haikubal mm natumia galaxy 2 nkienda kwny rply nkibonyeza.camera nkichagua pht nki click tu haitok picha sasa sijui vipi kua nakosea kwasababu kuna siku nshawah kutuma pht bt nimepiga nakutuma na imekubali sijawah kutoa kwny callery na kutuma lbda simu yangu mbovu jamani
 
Biscut za jam ni hizi...
 

Attachments

  • 1384673300445.jpg
    1384673300445.jpg
    73.4 KB · Views: 216
  • 1384673314190.jpg
    1384673314190.jpg
    48 KB · Views: 165
Back
Top Bottom