najaribu kusend photo lakin haikubal sijui kwann mwenye ujuz anifahamishe zaid
Kama unatumia simu kuna kitufe cha pili toka kushoto just after camera and before tweeter sign ukikibofya kitakupeleka kwenye gallery pic zako from your phone then ichague ya biscuit then utakapoi-attach itaonekana Kama number flan and PG just send it then picha itatokea ndugu nazisuburia hapa halafu NISAIDIE wewe unga umeweka kiasi gani?
haikubali mpenzi.nishafanya natumia simu inakuja empty paper sijui kwann na unga mm nakisia tu kawaida sina vipimo ww eka ukiona imeshikana na inafanyika duara bas ujue tayar
Kuna wakongwe wa kila JUKWAA jamani waambie wakuzungukie hapa na utapata somo maridadi.
Hapa ni Jf bhana.