unknown_man
New Member
- Jun 15, 2015
- 1
- 0
Nina mpango wa kuanza biashara ya mchele, nina million 30, nilikua naomba ushauri wenu kuhusu biashara hii
Nina mpango wa kuanza biashara ya mchele, nina million 30.
Nilikua naomba ushauri wenu kuhusu biashara hii.
Elimu haina mwisho hata kama anajua huenda kuna cha zaidi ambacho hajui anaweza akajua au huenda hajui kama hajuiUmezipata wapi? kweli ww ni muongo,kama ww ni mfanya biashara huwezi shindwa kujua biashara ikoje, huna wafanya biashara wenzako hapo jiran wanaofanya hii?