makolola JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 765 Reaction score 289 Jun 27, 2015 #1 Wadau nataka kuanzisha biashara ya mkaa hapa dar, jumla na rejareja. naombwa kujuzwa sehemu naweza upata kwa jumla kwa bei nafuu hapa dar au msaada wa mawazo kwa aliyejaribu . au eneo unapopatikana wa nafuu hata kama ni nje ya mji.
Wadau nataka kuanzisha biashara ya mkaa hapa dar, jumla na rejareja. naombwa kujuzwa sehemu naweza upata kwa jumla kwa bei nafuu hapa dar au msaada wa mawazo kwa aliyejaribu . au eneo unapopatikana wa nafuu hata kama ni nje ya mji.
Kisima JF-Expert Member Joined Oct 8, 2010 Posts 4,114 Reaction score 4,486 Jun 27, 2015 #2 Mkuu makolola ukitaka kupata faida nzuri ya biashara hii nakushauri fanya mpango na watu wa porini ili ulete au uje uchukue shehena huku pori. Ntakupa details zaidi nini cha kufanya.... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mkuu makolola ukitaka kupata faida nzuri ya biashara hii nakushauri fanya mpango na watu wa porini ili ulete au uje uchukue shehena huku pori. Ntakupa details zaidi nini cha kufanya....