Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Wakuu kwa mwenye uzoefu wa hii biashara nina mahindi yapo mbeya mimi naishi dar es salaam sasa nataka kujaribu kufanya biashara ya kusaga sembe kuleta huku dar kutoa mbeya mzoefu naomb msaada soko lake lipoje au niweza kupata conection na wadau ni sijawahi kufanya ila nataka kufanya ushaur maoni mwongozo wenu ni muhimu
Namba yangu ni 0758556283
Namba yangu ni 0758556283