BISHOP KAKOBE::Tanganyika Huru Lazima Ipatikane

Safi sana kakobe,washirikishe na wapentekost wenzako kuitetea tanganyika na kutetea rasmu ya warioba

uwakumbushe jinsi serikali ilivyotupa kapuni majina yenu katika bunge maalum na kuwachagua waganga wa kienyeji.
 
Mimi siyo mkiristu ila Dr Valentino Mokiwa amenikosha, kaongea pasina unafiki, tena kauliza hivi, mnasema waasisi wanatukanwa, mbona hamsemi hao wa tume, waloacha familia zao kuzunguka nchi nzima wakitafuta maoni, na tukawambia tunayoyataka, wakayaweka, kumbe kulikuwa na mawazo mengine mbadala, mbona hayakusimama ili mkaacha kutusumbua? ...mwisho wa kunukuu, siyo siri nimejikuta namshangilia kwenye tv, hadi nilokaa nao hasa mke wangu kapigwa butwaa
 
mkuu nimeipenda sana hii sentensi "ANAYEPINGA SERIKALI YA TANGANYIKA NI MHAMIAJI HARAMU"

yes, kwa sababu inasemekana wakazi wa bagamoyo ni MASALIA YA WATUMWA GOIGOI/DHAIFU kutoka congo/burundi, waliachwa baada hawawezi kufika kwenye soko la watumwa la zanzibar! hawawezi kuwa na uchungu na tanganyika!
 
Reactions: mij

Amina majeshi...

Wamepigwa wamepigwa, wamepigwa kabisaaaaaaaaaaaa............
 

Wagalatia mna mambo !...........total myopic view !
 
yes, kwa sababu inasemekana wakazi wa bagamoyo ni MASALIA YA WATUMWA GOIGOI/DHAIFU kutoka congo/burundi, waliachwa baada hawawezi kufika kwenye soko la watumwa la zanzibar! hawawezi kuwa na uchungu na tanganyika!

Ina maana mpaka huyu nanihii nae ni mmojawapo?
 
===>Kaamua kusema ukweli kuwa

Itazaliwa muda si mrefu,ni suala la muda tu,japo kwa taabu na fitina za magamba!
 
Wagalatia mna mambo !...........total myopia !
Kombo nimeingia ulimwengu halisi kuliko huu unaouona wewe, ulimwengu ambao shetani yupo extremely effective for those who do not use the blood of Jesus.
 
Safi sana kakobe,washirikishe na wapentekost wenzako kuitetea tanganyika na kutetea rasmu ya warioba

uwakumbushe jinsi serikali ilivyotupa kapuni majina yenu katika bunge maalum na kuwachagua waganga wa kienyeji.

Kakobe aunganishe Kanisa lake na Lusekelo, waunde serikali moja. Yesu ni yule yule !
 
Kombo nimeingia ulimwengu halisi kuliko huu unaouona wewe, ulimwengu ambao shetani yupo extremely effective for those who do not use the blood of Jesus.

.......ati mnatumia damu !??.........kwani nyinyi ni Muumiani ?!
 

Sasa ...tuseme Baba wa Taifa ndo aliikabidhi kwa huyo Lucifer !??
Daaah.....wagala !
 

Hebu Kakobe atuulizie mbona yule Dada anataka kutupiga puu ! lile ziwa Nyasa ?!
 
Hebu Kakobe atuulizie mbona yule Dada anataka kutupiga puu ! lile ziwa Nyasa ?!

kwa nini hujamuulza kikwete ambaye alienda kuongea naye au alikalia kuchekacheka tu kama anavyofanya na/kwa akina makinda!
 
Kakobe aunganishe Kanisa lake na Lusekelo, waunde serikali moja. Yesu ni yule yule !



Ili iweje mkuu? Mi naelewa akili yako,sasa tuzungumzie katiba mpya na Tanganyika ndio hoja iliyoko mezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…