Rehema na amani ya Mungu iwe juu yenu nyote wana JF.
Naomba kujuzwa juu ya hii club tajwa hapo juu nikweli naweza wekeza fedha zangu nikapata faida au nimatapeli. Maana wanasema ni online business na makao yao makuu yapo Brazil. Nitashukuru nikipewa habar zao nikijua hapa JF nikisima cha maarifa
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Naomba kujuzwa juu ya hii club tajwa hapo juu nikweli naweza wekeza fedha zangu nikapata faida au nimatapeli. Maana wanasema ni online business na makao yao makuu yapo Brazil. Nitashukuru nikipewa habar zao nikijua hapa JF nikisima cha maarifa
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app