Mr Discount
Member
- Oct 16, 2016
- 83
- 105
Kuna haja ya kumuita bwana smart911!?Mbele kabisa
Daima Mbele Nyuma MwikoMbele kabisa
Najua pa kumpataKuna haja ya kumuita bwana smart911!?
Nani aseme..!? Hofu yako tu.Ili mje kunisema mi mswahili nawivu uliopitiliza ausio? Najua pa kumpata
ulidate mluponiliachana nae, sa ivi anauza K site ya exotictz uko
kwa kweli, hawajulikani kwa sura sasaulidate mlupo
Heee πππ pole utampata mwingine4 years together dah, zile memories hazijawah jirudia kwa kenge yyte yule. nilijua tunaoana mbwa yule mpaka alivyoanza umalaya dah.
Sema nn tunasemaga haikupangwa ati.
pole mkuukwa kweli, hawajulikani kwa sura sasa
[emoji23][emoji23][emoji23] atariTunaachana ili tupate mwingine aliye bora zaidi...
Ishu ni pale unapomtosa 'demu' kisu halafu unakuja angukia kwa kipori...
---excuse my language---
Hii ego[emoji119][emoji23]Watu walivyowengi ulimwenguni,mi kukaa kumfikiria mtu tuliyetengana naona kama nampa bichwa hata kama hanioni.mxuuw