Black sodier Farming Mbadala wa Soyabeans na Dagaa kwenye chakula cha Mifugo

Black sodier Farming Mbadala wa Soyabeans na Dagaa kwenye chakula cha Mifugo

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Blacksodier ni aina ya nzi weusi ambao wao kidogo wanakuwa na mwili mdogo ukilinganisha na nzi.

Blacksodier hufugwa kwa minajili ya kuzalisha funza ambao baadae huja kutumika kama chakula cha mifugo.

Tofauti na nzi hawa Black sodier hawan madhara kwa mazingira hasa binadamu kwenye swala zima la kueneza magonjwa.

NI KIVIPI WANAFUGWA?

Hawa hufugwa kwa njia maalimu ambapo hufungiwa ndani kwenye banda maalumu ili wasitoke nje na huko hutaga mayai ambayo hubadilika na kuwa funza.

Humo huweza kulishwa mabaki ya vitu kama matunda na kadhalika.

KWENYE CHAKULA CHA MIFUGO.

Gharama za vyakula vya mifugo vinatokana na Bei ya Protein.

Protein ndo Malighafi ambayo ni ghari sana kwenye kutengeneza chakula cha mifugo.

1. Soya ni ghari sana.

2.Dagaa au unga wa samaki ni ghari sana.

Ni protein ndo inasababisha chakula cha mifugo kiwe ghari sana.

KUTUMIA BLACKSODIER.
Funaza hawa wanaweza kuwa mbadala kabisa wa Dagaa/unga wa samaki na Soya kwenye vyakula vya mifugo.

SABABU.

Funza wa Blacksodier wana kiwango kikubwa mno cha Protein wana kati ya 50 hadi 60% hikikiwango ni juu zaidi ya Soya na juu mno ya dagaa na Samaki unga.

Gharama za kuwatunza ni nafuu sana kuliko Kilimo cha soya au kwenda kununua Dagaa.

Kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha Protein na pia kuwa unafuu kwenye kufugwa kuna wafanya kuwa nafuu zadi na mbadala wa Soya na Dagaa.

MATUMIZI.

Hawa funza wa blacksodier wakisha vunwa huoshwa na kukaushwa then husagwa kuwa unga na tiyari kuchanganya kwenye chakula cha mifugo.


Unaweza wafuga in Lager scale kwa minajiri ya kuuzia viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo hasa chakula cha Kuku, samaki, nguruwe na Ng'ombe pia.

received_1235510063257370.jpeg
received_245830789616124.jpeg
received_504148836757809.jpeg
 
Maharage, dengu, choroko, kunde nk bado tu tunaumiza kichwa kuhusu protini.tusikariri vyote hivyo unaweza lisha kuku na wakakua vizuri tu.machoroko kanda ya ziwa huwa bwerere lakini mtu anahangaika na soya.Wazungu walituletea formula ya vitu vinavyopatikana kwalo.Mi ninataka nianze kulima viazi vitamu mihogo nk kwa ajili ya kulisha mifugo yangu maana hivyo vyakula hakuna vinapogoma. Jamani tubadirike mi nimelisha kuku zangu maharage ya kawaida tu na wameenda vizuri tu sasa wanamiezi 2.
 
Maharage, dengu, choroko, kunde nk bado tu tunaumiza kichwa kuhusu protini.tusikariri vyote hivyo unaweza lisha kuku na wakakua vizuri tu.machoroko kanda ya ziwa huwa bwerere lakini mtu anahangaika na soya.Wazungu walituletea formula ya vitu vinavyopatikana kwalo.Mi ninataka nianze kulima viazi vitamu mihogo nk kwa ajili ya kulisha mifugo yangu maana hivyo vyakula hakuna vinapogoma. Jamani tubadirike mi nimelisha kuku zangu maharage ya kawaida tu na wameenda vizuri tu sasa wanamiezi 2.
Maharage unayaandaaje ili yafae kwa chakula cha mifuko, mfano soya wanasema unazikaanga kwanza.

Kiwango cha protini kwenye maharage kipo vipi kwa utafiti wako?

Gharama za maharage na soya kipi kipi juu per kg.
 
Maharage unayaandaaje ili yafae kwa chakula cha mifuko, mfano soya wanasema unazikaanga kwanza.

Kiwango cha protini kwenye maharage kipo vipi kwa utafiti wako?

Gharama za maharage na soya kipi kipi juu per kg.
Maharage yapi? Soya ndo inayo lishia mifugo.
 
Blacksodier ni aina ya nzi weusi ambao wao kidogo wanakuwa na mwili mdogo ukilinganisha na nzi.

Blacksodier hufugwa kwa minajili ya kuzalisha funza ambao baadae huja kutumika kama chakula cha mifugo.

Tofauti na nzi hawa Black sodier hawan madhara kwa mazingira hasa binadamu kwenye swala zima la kueneza magonjwa.

NI KIVIPI WANAFUGWA?

Hawa hufugwa kwa njia maalimu ambapo hufungiwa ndani kwenye banda maalumu ili wasitoke nje na huko hutaga mayai ambayo hubadilika na kuwa funza.

Humo huweza kulishwa mabaki ya vitu kama matunda na kadhalika.

KWENYE CHAKULA CHA MIFUGO.

Gharama za vyakula vya mifugo vinatokana na Bei ya Protein.

Protein ndo Malighafi ambayo ni ghari sana kwenye kutengeneza chakula cha mifugo.

1. Soya ni ghari sana.

2.Dagaa au unga wa samaki ni ghari sana.

Ni protein ndo inasababisha chakula cha mifugo kiwe ghari sana.

KUTUMIA BLACKSODIER.
Funaza hawa wanaweza kuwa mbadala kabisa wa Dagaa/unga wa samaki na Soya kwenye vyakula vya mifugo.

SABABU.

Funza wa Blacksodier wana kiwango kikubwa mno cha Protein wana kati ya 50 hadi 60% hikikiwango ni juu zaidi ya Soya na juu mno ya dagaa na Samaki unga.

Gharama za kuwatunza ni nafuu sana kuliko Kilimo cha soya au kwenda kununua Dagaa.

Kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha Protein na pia kuwa unafuu kwenye kufugwa kuna wafanya kuwa nafuu zadi na mbadala wa Soya na Dagaa.

MATUMIZI.

Hawa funza wa blacksodier wakisha vunwa huoshwa na kukaushwa then husagwa kuwa unga na tiyari kuchanganya kwenye chakula cha mifugo.


Unaweza wafuga in Lager scale kwa minajiri ya kuuzia viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo hasa chakula cha Kuku, samaki, nguruwe na Ng'ombe pia.

View attachment 902686View attachment 902687View attachment 902689
Naomba kujua wanapopatika mayai ya black solier fly hapa tanzania tafadhali
 
Blacksodier ni aina ya nzi weusi ambao wao kidogo wanakuwa na mwili mdogo ukilinganisha na nzi.

Blacksodier hufugwa kwa minajili ya kuzalisha funza ambao baadae huja kutumika kama chakula cha mifugo.

Tofauti na nzi hawa Black sodier hawan madhara kwa mazingira hasa binadamu kwenye swala zima la kueneza magonjwa.

NI KIVIPI WANAFUGWA?

Hawa hufugwa kwa njia maalimu ambapo hufungiwa ndani kwenye banda maalumu ili wasitoke nje na huko hutaga mayai ambayo hubadilika na kuwa funza.

Humo huweza kulishwa mabaki ya vitu kama matunda na kadhalika.

KWENYE CHAKULA CHA MIFUGO.

Gharama za vyakula vya mifugo vinatokana na Bei ya Protein.

Protein ndo Malighafi ambayo ni ghari sana kwenye kutengeneza chakula cha mifugo.

1. Soya ni ghari sana.

2.Dagaa au unga wa samaki ni ghari sana.

Ni protein ndo inasababisha chakula cha mifugo kiwe ghari sana.

KUTUMIA BLACKSODIER.
Funaza hawa wanaweza kuwa mbadala kabisa wa Dagaa/unga wa samaki na Soya kwenye vyakula vya mifugo.

SABABU.

Funza wa Blacksodier wana kiwango kikubwa mno cha Protein wana kati ya 50 hadi 60% hikikiwango ni juu zaidi ya Soya na juu mno ya dagaa na Samaki unga.

Gharama za kuwatunza ni nafuu sana kuliko Kilimo cha soya au kwenda kununua Dagaa.

Kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha Protein na pia kuwa unafuu kwenye kufugwa kuna wafanya kuwa nafuu zadi na mbadala wa Soya na Dagaa.

MATUMIZI.

Hawa funza wa blacksodier wakisha vunwa huoshwa na kukaushwa then husagwa kuwa unga na tiyari kuchanganya kwenye chakula cha mifugo.


Unaweza wafuga in Lager scale kwa minajiri ya kuuzia viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo hasa chakula cha Kuku, samaki, nguruwe na Ng'ombe pia.

View attachment 902686View attachment 902687View attachment 902689
Fuga mende achana hawa wadudu wachafu..!
 
Blacksodier ni aina ya nzi weusi ambao wao kidogo wanakuwa na mwili mdogo ukilinganisha na nzi.

Blacksodier hufugwa kwa minajili ya kuzalisha funza ambao baadae huja kutumika kama chakula cha mifugo.

Tofauti na nzi hawa Black sodier hawan madhara kwa mazingira hasa binadamu kwenye swala zima la kueneza magonjwa.

NI KIVIPI WANAFUGWA?

Hawa hufugwa kwa njia maalimu ambapo hufungiwa ndani kwenye banda maalumu ili wasitoke nje na huko hutaga mayai ambayo hubadilika na kuwa funza.

KWENYE CHAKULA CHA MIFUGO.
Funza wa Blacksodier wana kiwango kikubwa mno cha Protein wana kati ya 50 hadi 60% hikikiwango ni juu zaidi ya Soya na juu mno ya dagaa na Samaki unga.

Gharama za kuwatunza ni nafuu sana kuliko Kilimo cha soya au kwenda kununua Dagaa.

Unaweza wafuga in Lager scale kwa minajiri ya kuuzia viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo hasa chakula cha Kuku, samaki,..
Inachukua muda gani hadi kuanza kuvuna hao funza?
 
Kuna jamaa umeweka namba zake Facebook anauza nzi mmoja shilingi 3500 ma anauza kuanzia nzi 100.
Nimewasiliana nae leo asubuhi ila nimebaini hayupi serious
 
Back
Top Bottom