CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Black Soldier Fly au nzi chuma ni aina ya nzi ambao ni wa mwituni na hutumika sana kuzalisha larave au funza kwa ajili ya mifugo.
Commercial Production ya larave hawa inawezekana sana Tanzania kwa sababu kuna watu tiyari hasa Wazungu wanaifanya, tena wako funded kabisa na mmoja wao alipata fund mara baada ya Watanzania kuona ni kinyaaa.
Ila ili uzalishe Commercial lazima uzingatoe mambo yafuatayo,
1. Uhakika wa Organic waste au Uchafu hai wa kuwalisha hao larvae
2. Means za kuutoa huo uchafu kule uliko na kuuleta eneo la Production.
Hivyo ndo vitu muhimu sana vingine ni minor sana kama swala la wafanya kazi, na stracture.
BSFL wana kiwango kikubwa sana cha protein, Fat na Calcium kiasi kwba unapo itumia kwenye kuzalisha chakula cha mifugo basi huna haja ya kuongeza mashudu ya alzet au pamba, na pia vitu kama chokaaa kwa ajili ya calcium.
Hawa larvae wanaweza tumika na almost mifugo yoye.
-Kuku
-Samaki
-Nguruwe
-Ng'ombe
na pett animal kama mbwa na paka, Mbwa anapenda mno larave walio kaushwa na kuna mzungu Arusha tiyari anazalisha Biscut za mbwa kwa kitumia hawa Larvae.
BSFL ni Mbadala wa Soya na Dagaaa na Samaki kwenye uzalishaji wa vyakula vya mifugo hasa Kuku, Nguruwe na Samaki,
Pia anaweza tumika kama full chakula ingawa ana kosa Carbohydrate tu.
Wazungu wanachangamkia sana hii ishu huku kwetu ilihali sisi tumelala tuna subilia Waziri atutangazie kwamba tuzalishe.
Pia sio lazima Uzalishe commercial unaweza zalisha ukalishia mifugo yako mwenyewe ka Kuku, Samaki, Nguruwe na Ng'ombe na Mbwa wako na Paka
Commercial Production ya larave hawa inawezekana sana Tanzania kwa sababu kuna watu tiyari hasa Wazungu wanaifanya, tena wako funded kabisa na mmoja wao alipata fund mara baada ya Watanzania kuona ni kinyaaa.
Ila ili uzalishe Commercial lazima uzingatoe mambo yafuatayo,
1. Uhakika wa Organic waste au Uchafu hai wa kuwalisha hao larvae
2. Means za kuutoa huo uchafu kule uliko na kuuleta eneo la Production.
Hivyo ndo vitu muhimu sana vingine ni minor sana kama swala la wafanya kazi, na stracture.
BSFL wana kiwango kikubwa sana cha protein, Fat na Calcium kiasi kwba unapo itumia kwenye kuzalisha chakula cha mifugo basi huna haja ya kuongeza mashudu ya alzet au pamba, na pia vitu kama chokaaa kwa ajili ya calcium.
Hawa larvae wanaweza tumika na almost mifugo yoye.
-Kuku
-Samaki
-Nguruwe
-Ng'ombe
na pett animal kama mbwa na paka, Mbwa anapenda mno larave walio kaushwa na kuna mzungu Arusha tiyari anazalisha Biscut za mbwa kwa kitumia hawa Larvae.
BSFL ni Mbadala wa Soya na Dagaaa na Samaki kwenye uzalishaji wa vyakula vya mifugo hasa Kuku, Nguruwe na Samaki,
Pia anaweza tumika kama full chakula ingawa ana kosa Carbohydrate tu.
Wazungu wanachangamkia sana hii ishu huku kwetu ilihali sisi tumelala tuna subilia Waziri atutangazie kwamba tuzalishe.
Pia sio lazima Uzalishe commercial unaweza zalisha ukalishia mifugo yako mwenyewe ka Kuku, Samaki, Nguruwe na Ng'ombe na Mbwa wako na Paka