Black women are less prettier and attractive than others! Mmmh!


Dem you researcher/author!
Poor Hypothesis!
Go back and start a fresh!
Before you start again ask me to hint you the scope of your findings coz there are few things you don't know.
1st High living standard make someone(woman) younger and less masculine.
2nd Most african women have low living standard and so the answer in 1st above.
 
Our Black sisters are so damn beautiful, i would rather a black sister all my life that a white one
 
wakaka bwana hata mkitusema sie sio wazuri sio mbaya..why kissing our as ses in this thread????watu tunashindilia maugali hamna exercises unategemea tutakuwa attractive?????
 
Duuh! hii kali, ama kweli ubaguzi unapamba moto! vipi wakuu mnakubaliana na hizi findings? maana mimi binafsi nimegoma! the most beautiful woman in the world is a black woman! Shabaash!!

Are Black Women Less Attractive? Blogger Says So

Unachokataa ni nini? wakati tunaona mikorogo ya kutufanya tuwe weupe ili tuwe "attractive". Sijaona mkorogo wa kuwafanya weupe wawe weusi.

Nakubaliana na huyo mwana blog, huo ni ukweli na haupingiki, moja ya biashara nzuri sana leo Africa ni mkorogo, kwa nini?
 

Umesahau mawigi..

Kuna haja ya waafrika kujipenda na kujithamini kama walivyo..
Kuna watu wanajipiga 'bleach'...kutafuta weupe!
Lakini nahisi wanawake wa-kiafrika wakibaki kuwa 'natural' wanapendeza tu.. Urembo kiasi
 
Umesahau mawigi..

Kuna haja ya waafrika kujipenda na kujithamini kama walivyo..
Kuna watu wanajipiga 'bleach'...kutafuta weupe!
Lakini nahisi wanawake wa-kiafrika wakibaki kuwa 'natural' wanapendeza tu.. Urembo kiasi

Nakubaliana na wewe mia kwa mia.
 
Hivi mjapan na yeye anaweza kujiweka kwene nafasi ya kuwajaji wenzake kuhusu urembo or whatever it is? lol.

Nways, mie kwa upande wangu for the sake of smashin', i will smash any girl any race or ethnicity as long as she has them goodies i like.thats it. the rest is just nonsense.
 
mama Michelle, ngoja nikwambie siri moja, wanawake weusi nimeona siku zote mnakuwa inferior kwa weupe lakini hii si kweli mamy. Unajua hata wanaume weusi wengi pia wako inferior kwa wanawake weupe haswa wanaume weusi waliopo africa (ndio sababu utaona hata picha wanazoangalia za kikubwa ni za weupe),lakini nikwambie kitu!!mi nina experiense ya kuwa na hata kutembea na wanawake weupe tena kwao ulaya, hawa hawana kitu mamy nikwambie, nyie mnaiga hata mavazi yao na tabia zao lakini hamna kitu kabisa, hawa wakati nikiwa nje ya nchi tulikuwa tunwaita ma plastic (yaani naniii zao eh!!, mi huwa nashangaa jamaa zangu hapa tz wanashobokea nyeupe, hamna kitu kabisa yaani, mnaiga ngono zao lakini si tamu bwana....lol). Hata nimekuwa na marafiki wanaume weupe huwa wanataka sana wawaonje nyie wanawake wetu weusi maana wanajua utamu wenu ati.....,nyie tu hamjui hili....ndo sababu mnataka mjichubue muwe kama wao, pia mvae wigi kama wao n.k lakini nikwambie, nyie wazuri na watami bwana......hujaona hata yule boss wa IMF aliyeshikwa......alitaka kuonja kitu nyeusi...lol.....nyie ni mali adimu bana........jitambueni......rangi isiwaponze.............
 
Black is sweet! pretty, beautiful and attractive! finito!!
 
michelle don't undervalue your nature. Believe me the black women are beautful and attractive than white. Ni mara ngapi tunawaona wazungu mitaa ya posta wakiwa nusu uchi lakini hata hatuvutiwi nao achana na kitu black kiko juu bwana.

Mi hata Porn huwa naangalia za Black only...! :msela:
 

kuna kau-racist kiaina... , lakini utafiti una ka-ukweli.....issue ya africa siyo poverty.
hata uzuri kwa maoni yangu ni kweli.... kwani sijawahi ona mzungu/mweupe kujaribu kujipodozi ili aonekane mweusi au hair kipilipili...but wanawake weusi wanajaribu kila liwezekanalo kubadilisha skin na hair!!
 

labda hamna mikorogo ya hivyo ila kuna tan wazungu huwa wanapaka wawe brown!
 
not true, nosense, period.

2meshindwa kutofautisha weupe wa mwafrica na weusi wa kike wa mwafrica,na nathan ndo isue hapa kati ya mwanamke mweupe wa kiafrica na mweusi kirangi yupi bomba.
 
nimechukizwa na wanaosema kwenye dhana ya yupi mrembo btn black women and white women,reality wil remain there no mater our poverty 2nashndwa kuwa na majudge wa kutosha kuchagua warembo kwenye mashindano na kila mvuta kamba huvutia kwake,ila ukweli m2 wa asili ya weusi n noumaa hata ka katoto,mizungu ukwel cjawai kuwaza kua yupo mzuri wa kufanya nitetereke hata
 
mie nataka mzungu aje aishi katika mazingira tunayoishi,na mwafrica atolewe africa apewe mazingira anayoishi mzungu tuone difference!....sijui ndio nakubali kuwa sie wabaya au?lol,ila jamani embu tutumie yale mamoisturizer,face cleanser tule vizuri na kufanya mazoezi kama wazungu tuone kama hatujawa na sie attractive?lol
 

Hiyo picha yako mbona inaonesha nywele si za mtu mweusi? ilikuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…