Pole, na hongera kwa kumiliki Blackberry Pearl, Storm ni kimeo!. Backberry zote zinatumia mtandao wa rim bila kujali unaconnect kupitia wapi. ukishadownload, picha utazikuta kwenye e-mail yako. hao rim wanazituma moja kwa moja, hivyo fungua e-mail yako utazikuta picha ulizodownload.
Wanajamvini naombeni msaada kwa yoyote anayejua jinsi ya kudownload picha kutoka kwenye blackberry pearl kwenda kwenye PC. maana nikijaribu picture zinakuja na REM extension so zinashindwa kufunguka. Nipeni utaalamu wa kubadili kutoka REM kwenda JPG format
Simple,
connect ur usb cable.
your blackberry will appear like any other flash drive on your PC.
Copy pictures from blackberry\pictures
there you go.