Bladley Ouna mwanafunzi wa UDSM anayeongoza maandamano kenya

Bladley Ouna mwanafunzi wa UDSM anayeongoza maandamano kenya

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Msikilize mkurugenzi mtendaji CCK msemaji wa pili baada ya seneta. Alisoma certificate in laws udsm kabla ya kutimkia south africa 2014... wakati huo alikuwa akisakwa na vyombo vya ulinzi na usalama vya kenya. Ni rafiki wa Chacha machera aliyewahi kushika nambari moja kwa mbio za ubunge chalinze kupitia kura za maoni kupitia CDM kabla hajaporwa haki hiyo na mbowe.2015

 
Huna ujanja huo ww wa kumshughulikia yoyote. Ungekuwa na jeuri hiyo usingetumia fake I'd kama mimi. Machafuko ni lazima tunangoja tu muingie kwenye 18 ndio mtafurahi.
Polisi wamewaokoa kuzuia maandamano yao tungewapopoa na mawe mitaani wangejuta
 
Back
Top Bottom