Blatter alikuwa anatafuna demu wa cr7 irina shyk duh

Blatter alikuwa anatafuna demu wa cr7 irina shyk duh

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Zile kelele za majibizano kati ya Ronaldo na mzee wa Blatter leo zimeibuliwa na gazeti linaloheshImika Spain la El Mundo.

Habari zaidi zinasema Blatter amekuwa akimtafuna demu wa Ronaldo toka 2002.Irina wakaachana then wakarudiana 2014 WAKATI HUO RONALDO NAE AKIPAPASA MAP, LOH KABABU KANATUMIA MKUYATI NINI MWENYE.
 
Magazeti ya ureno nayo yameandikahabarii na kumlalamikia kwakula shemeji yao
 
Ya bifuuu zao
 
Mengi tutayasikia , cha msingi weka sawa masikio yako tu
 
Jamaa alikuwa silence.kiboroshutaaa loh
 
Hahaaaa tamimu utatoboa ngozi ya sikio
 
Inamaana 2002 wakat Blatter anaanza mahusiano na huyo mdada tayar Ronaldo nae alikuwa na umiliki wa hiyo mali?
 
wazungu wabaguzi sana kwanza hawakutaka kombe la dunia lichezwe afrika na pia kauli aliyosema ya kuongeza timu moja zaidi afrika..hela za rushwa zimepitia america toka miaka 15 iliyopita leo ndio wanatoa vielelezo kwa nini sio kipindi hicho...
 
ha ha ha ha ha ha ha ha Aleyn njoo huku
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahahahahahaahaha ndo maana akawa anampa Ballon D Or ili kumpoza machungu, sasa Blata akiondoka Ronaldo asahau kubeba hiyo tuzo.
 
Ahahahahahahahahahaahaha ndo maana akawa anampa Ballon D Or ili kumpoza machungu, sasa Blata akiondoka Ronaldo asahau kubeba hiyo tuzo.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha penado wa watu
 
Sasa hapo aliyemlia mwenzake nani kama huyo dem alianza na Blatter
 
Mhhhhh! Kwakweli hili ni balaa sasa.
Ronaldo vs Blatter?
😕😕
 
Inamaana 2002 wakat Blatter anaanza mahusiano na huyo mdada tayar Ronaldo nae alikuwa na umiliki wa hiyo mali?
Maybe alianza kuliwa na babu and then akaja ronaldo cos miaka hyo ya 2002 ronald bado underdog tu anapambana kutoka through mpira
 
Back
Top Bottom