INAUZWA Blender iliyotumika inauzwa, ipo kwenye hali nzuri

INAUZWA Blender iliyotumika inauzwa, ipo kwenye hali nzuri

Extraseen

Senior Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
141
Reaction score
140
Sold
 

Attachments

  • 20210208_120333.jpg
    20210208_120333.jpg
    44.5 KB · Views: 8
Samahanini nilijua nimepost bei.. bei ilikuwa 55k..kama unafikia bei njoo inbox pls
 
Karibu bado ipo Nilisafiri nimerudi.. jana .. Mauzo yanaendelea.. mlio kuwa mna nipigia nika wajibu niko mkoani kwa dharura.. nimerudi ila number zenu nishapoteza sizikumbuki..
 
Kwani mpya dukani bei gani??
Zaiba ni chuma. Ila hiyo bei [emoji848][emoji848]
Nilinunua 2016 zanzibar ilikua kama 37K illa inachapa kazi fressh mpaka leo.

Sasa balaa moulinex mfaransa, home ilinunuliwa kwenye 2001 hivi, bei ilikua 47k ila chombo inapiga kazi mpaka leo ila majagi ndio yamezingua
 
Zaiba ni chuma. Ila hiyo bei [emoji848][emoji848]
Nilinunua 2016 zanzibar ilikua kama 37K illa inachapa kazi fressh mpaka leo.

Sasa balaa moulinex mfaransa, home ilinunuliwa kwenye 2001 hivi, bei ilikua 47k ila chombo inapiga kazi mpaka leo ila majagi ndio yamezingua
Ziaba noma bro na mm nilinunua mwaka huohuo 2016 mpaka leo ilikuwa ina nguvy ya ajabu ubora wakenoma sana..

nimeouza 40k kwa mjuzi anaye ijua kaifuata mpaka home
 
Ziaba noma bro na mm nilinunua mwaka huohuo 2016 mpaka leo ilikuwa ina nguvy ya ajabu ubora wakenoma sana..

nimeouza 40k kwa mjuzi anaye ijua kaifuata mpaka home
Fair sana. Mana 2016 mpaka leo lazima ipande

Hatajuta ni blender ngumu kuanzia mota mpaka majagi yake
 
Back
Top Bottom