HERY HERNHO
Senior Member
- Mar 4, 2022
- 110
- 458
Wanadiplomasia wa Marekani na Urusi wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya kigeni kutoka kundi la nchi 20 zilizopiga hatua kiviwanda G20, mkutano ulioshindwa kutoka na tamko la pamoja.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken na mwenzake wa Urusi Sergei Lavrov wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa wanadiplomasia wa nchi za G20 mjini New Delhi, uliogubikwa na vita vya Ukraine na ambao umeshindwa kufikia tamko la pamoja baada ya pingamizi kutoka Moscow na Beijing.
Amesisitiza dhamira ya Washington ya kumlinda mshirika wake Ukraine ili kuondoa dhana yoyote ya Urusi kwamba Washington inaweza kuyumba katika uungaji wake mkono. Hadi kufikia leo, hapakuwa na mawasiliano ya ana kwa ana baina ya serikali ya Marekani na Urusi tangu Moscow ilipoivamia Ukraine mwaka jana, huku Washington ikisisitiza usaidizi wake kwa Kyiv na kuhimiza juhudi za kimataifa za kuitenga Urusi.
Kwa mujibu wa msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Urusi Maria Zakharova, aliyelieleza shirika la habari la serikali RIA Novosti, ni kwamba Blinken ndiye aliyeanzisha mazungumzo hayo lakini kwa ufupi sana, baadhi ya ripoti zikisema yalikuwa chini ya dakika 10.
Waziri Lavrov amenukuliwa akisema kwamba kundi la nchi za G20 halitotoa tamko la pamojahuku mwenyeji wa mkutano.
Huo ambayo ni India ikitoa tu muhtasari wa mkutano. Lavrov aliwaambia mawaziri wa mambo ya nje waliokusanyika kuwa wawakilishi wa nchi za Magharibi wamevuruga mkutano huo kwa nia ya kuikosoa Urusi kwa kushindwa kwao wenyewe, na kutoheshimu juhudi za mwenyeji India kufikia makubaliano juu ya masuala mengine. Lavrov anaongeza kwamba.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken na mwenzake wa Urusi Sergei Lavrov wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa wanadiplomasia wa nchi za G20 mjini New Delhi, uliogubikwa na vita vya Ukraine na ambao umeshindwa kufikia tamko la pamoja baada ya pingamizi kutoka Moscow na Beijing.
Amesisitiza dhamira ya Washington ya kumlinda mshirika wake Ukraine ili kuondoa dhana yoyote ya Urusi kwamba Washington inaweza kuyumba katika uungaji wake mkono. Hadi kufikia leo, hapakuwa na mawasiliano ya ana kwa ana baina ya serikali ya Marekani na Urusi tangu Moscow ilipoivamia Ukraine mwaka jana, huku Washington ikisisitiza usaidizi wake kwa Kyiv na kuhimiza juhudi za kimataifa za kuitenga Urusi.
Kwa mujibu wa msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Urusi Maria Zakharova, aliyelieleza shirika la habari la serikali RIA Novosti, ni kwamba Blinken ndiye aliyeanzisha mazungumzo hayo lakini kwa ufupi sana, baadhi ya ripoti zikisema yalikuwa chini ya dakika 10.
Waziri Lavrov amenukuliwa akisema kwamba kundi la nchi za G20 halitotoa tamko la pamojahuku mwenyeji wa mkutano.
Huo ambayo ni India ikitoa tu muhtasari wa mkutano. Lavrov aliwaambia mawaziri wa mambo ya nje waliokusanyika kuwa wawakilishi wa nchi za Magharibi wamevuruga mkutano huo kwa nia ya kuikosoa Urusi kwa kushindwa kwao wenyewe, na kutoheshimu juhudi za mwenyeji India kufikia makubaliano juu ya masuala mengine. Lavrov anaongeza kwamba.