HILO LA WASANII KILA SIKU HATA MIMI NILILIWAZA WANGEFANYA MARA MOJA TU KWA WEEKKuhusu mchana sikubaliani nawewe,hiki kipindi trust me kina bamba usku,mana maniga ndio tunakua free
Kuhusu huyo jamaa ni kwel kapoa sana..ila akiamuaga kuzingua anakuaga poa tu..
Weakness mi naona ni kuleta wasanii kila siku,,naona watawamalza mapema mwisho waanze kuwarudia..wangetenga hata siku tatu tu kwa wiki ndio siku za kuwa na wasanii..sema nini jamaa wana studio kali sana
Nakubaliana na wewe mkuu,The Playlist ni kipindi safi sanaKipind ni the Playlist tu cha lilyomy jamaa ni noma
Hiyo imeshushwa ariffHizo suruali zao ndo zilìvyoshonwa au mvaaji ana tatizo nyonga?
Duh hiyo mbaya sanaleo Mr T Touch ametambulisha wimbo mpya, baada ya kupigwa huyo jamaa anayejiita Mtu Imara anamwambia wimbo wake umefanana na wa sheta "hatufanani", aisee touch kaishiwa pozi furaha ya kutambulisha wimbo wake imekata.
huu ni uongo mwingineRadio pekee unayoweza kusikiliza hata mwaka mzima bila kubadili station na bila kujihisi unamiss chochote kwasasa ni CLOUDS FM.
Na Television pekee ni EAST AFRICA TV.
Nyingine ni TAKATAKA tu.
ukweli mtupuRadio pekee unayoweza kusikiliza hata mwaka mzima bila kubadili station na bila kujihisi unamiss chochote kwasasa ni CLOUDS FM.
Na Television pekee ni EAST AFRICA TV.
Nyingine ni TAKATAKA tu.