BLOCK 89

Kaka tatizo siyo ugeni ila ukiwa makini utaona hawapeani nafasi ya kuongea fuatilia interview zao wnauliza maswal meng bila mpangilio,lets hope baada ya muda watakua vizuri zaidi

Hilo tatizo lipo lakini kwa kiasi kikubwa limepungua ukilinganisha na mwanzoni kipindi kinaanza na nilisha wai kuwandika humu! Mimi naona at least kwa sasa unaona kipinid kina viongozi unaona kabisa kama siku Jonijo hayupo unajua kiongozi ni Cat.....

Lakini wanapo kwenda ni pazuri zaidi na hilo tatizo mbona lipo kwenye radio nyingi tuu tena kongwe na ni mambo yanayo rebishika pole pole na ni lazima tukubali watu lazima wapewe nafasi ya kukua na kujifunza lakini si kufukuzwa....

Na shida yetu tunapenda ready made sana yani tunataka kila kipindi na kila radio ziwe na level zaClouds au E-Fm ndio kwetu inakuwa wamemefanikiwa...
Tuna shida ya kutoa nafasi kwa watu wapya kujifunza na kukua——

Pamoja na hayo yote lakini hicho kipindi ni kizuri na kina watu wengi wana kifatilia sana....
 
in short Jonijo yupo vizuri kama muongozaji wa kipindi hao wanaobaki ni wabovu

Wabovu ukilinganisha na nani? Jonijo anaweza kuendesha kipindi peke yako na sikiboe? Lazima tukubali wote wana ubora wao na wanapaswa kupewa nafasi na si wabovu kama mnavyo taka tufikiri.
 
Wabovu ukilinganisha na nani? Jonijo anaweza kuendesha kipindi peke yako na sikiboe? Lazima tukubali wote wana ubora wao na wanapaswa kupewa nafasi na si wabovu kama mnavyo taka tufikiri.
nikimlinganisha na wenzie kwenye kipindi
 
sahihi chief
 
Sijaona kabisa hoja——-
Inawezekana unalo lisema ni kweli lakini hapa hujaweka hoja yoyote ile....
Weka hoja hapa hata moja tuichambue wote!
Kinyume na hapo unaonekana una chuki tuuu zisizo na msingi!
Na chuki humuumiza zaidi anaye chukia.
Nilikuwa nasaka comment yako maana najua usingekosekana.
Mwambie boss wako alifanyie kazi hilo maana si mara ya kwanza naona watu wakililalamikia hilo haswa kwenye hicho kipindi.
 
mahaba bana
 
Nilikuwa nasaka comment yako maana najua usingekosekana.
Mwambie boss wako alifanyie kazi hilo maana si mara yabkwanza naona watu wakililalamikia hilo haswa kwenye hicho kipindi.

kweli kabisa

ukiacha jonijo

wengine watupu kichwani
 
Nilikuwa nasaka comment yako maana najua usingekosekana.
Mwambie boss wako alifanyie kazi hilo maana si mara yabkwanza naona watu wakililalamikia hilo haswa kwenye hicho kipindi.

Hahahaha mimi bado sijaona hoja na nimesema wazi kuna uwezekano mkubwa yanayosemwa ni kweli lakini si kiasi hiki cha kuita watu kuwa ni wabovu... hawa vijana wameanza juzi lazima wana jifunza na kujirekebisha!
 
Hahahaha mimi bado sijaona hoja na nimesema wazi kuna uwezekano mkubwa yanayosemwa ni kweli lakini si kiasi hiki cha kuita watu kuwa ni wabovu... hawa vijana wameanza juzi lazima wana jifunza na kujirekebisha!
Ndio muwaambie wawe professional. Kukosea huko ndio ubovu wenyewe maana unajirudia mara kwa mara.
 
Ndio muwaambie wawe professional. Kukosea huko ndio ubovu wenyewe maana unajirudia mara kwa mara.

Huwa una sikiliza? Kama huwa una sikiliza utakubaliana nami wamepiga hatua...
 
Huwa una sikiliza? Kama huwa una sikiliza utakubaliana nami wamepiga hatua...
Niliwahi mara moja boss wao alipokuwa anahojiwa akaropoka yale ya zari. Aisee the whole interview was awkward, totaly unproffesional. Hadi unawaza inamaana waliowaajiri hawalioni hili? From there i never bothered.
 
Niliwahi mara moja boss wao alipokuwa anahojiwa akaropoka yale ya zari. Aisee the whole interview was awkward, totaly unproffesional. Hadi unawaza inamaana waliowaajiri hawalioni hili? From there i never bothered.
Kumbe! We ni fan wa zari ndo maana unawapinga
 
Very true..... Sijui wametumia vigezo gani maana content hawana kabisa wale watangazaji wanaongeaga ujingaujinga tu na kujifanya watoto wa kishua
 
Very true..... Sijui wametumia vigezo gani maana content hawana kabisa wale watangazaji wanaongeaga ujingaujinga tu na kujifanya watoto wa kishua

Contents wanazo sema hawaja kufurahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…