Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya maji Safi na maji taka.Toka mamlaka ipi
Hivi usipolipia huduma za hosting unawekewa ujumbe kama huo?
Huo Ujumbe ni kama wamemkomoa maana Utathiri hadi ranking na reputation ya Blog.Kutakuwa na shida mahali kwa upande wa MillardHivi usipolipia huduma za hosting unawekewa ujumbe kama huo?
Alilipoti habari za maandamano sio??
JamiiForums tunaomba mtoe ufafanuzi kuna kipindi kama sijakosea mlisema mnafanya kazi ya kuhost baadhi ya website hapa nchini kama sijakosea! Hii ya miradi hayo haikuwa chini yenu?
Mmh, hawa itakua hackers, sidhani kama kuna hosting company yenye ujumbe huu. Kama hosting ingekua imeisha kwenye browser ingeleta ujumbe wa DNS address not found
Hapana,hawa ni bure.HawalipiiHivi hawa wamiliki wa blogs zenye .blogspot.com nao wanalipia hiyo Tsh.1M?
Hiv wabongo unawajua wwe?? Yan hiz habar tunazopiga humu we zisikilize halaf ziache hapo hapo.Si wanasema ana top list ya bloggers wanao lipwa kiasi kikubwa kwa mwezi hapa danganyika?